Msaada jinsi ya kuondoa hizi vitu kwenye simu

Mbaga Jr

JF-Expert Member
May 28, 2018
17,967
38,714
Kuachana na hizo app za mviringo kuna hizo hapo juu kabisa kama games ambazo imeandikwa unaweza play without installation, Naomba nijue jinsi ya kuziondoa mana hua zinatoka zenyewe lakini baada ya dkk kadhaa zinarudi

Screenshot_20210302-231702.png
 
Hilo tatizo nalionaga kwenye Tecno, infinix na Itel

kwenye samsung na iphone nnazotumia sijawahi kuona

sasa sijui wameweka hapo permanent au kuna jinsi ya kutoa? Ngoja wajuzi waje
 
Hizo ni ads ambazo zinakuwa installed unapo update xos launcher. Kuziondoa unistall update za xos launcher. N:B Hili ni tatizo kwa simuza tecno na infinix.
 
Hilo tatizo nalionaga kwenye Tecno, infinix na Itel

kwenye samsung na iphone nnazotumia sijawahi kuona

sasa sijui wameweka hapo permanent au kuna jinsi ya kutoa? Ngoja wajuzi waje
Yah mzee Samsung na iPhone hakuna h mambo ila sisi wa tecno ndo tunapata

Mkuu nami nashindwa kuvitoa
Yan mm nilifanya kila njia kujaribu kuzitoa lakn haiwezekani
 
Kuna baadhi ya app ambazo ni built in kwenye simu za techno infinix na itel sana zina pop up ads fuatilia zisimamishe kufanya kazi
 
Kuna baadhi ya app ambazo ni built in kwenye simu za techno infinix na itel sana zina pop up ads fuatilia zisimamishe kufanya kazi
Ndo jinsi ya kuzisimamisha cjui mkuu

Hizo ni ads ambazo zinakuwa installed unapo update xos launcher. Kuziondoa unistall update za xos launcher. N:B Hili ni tatizo kwa simuza tecno na infinix.
Kweli mkuu, kabla sjafanya update haikuwepo ila nilipofanya update ndo zikawepo, sija-unstall h launcher mana sipend muonekano wake wa zamani napenda huu muonekano wa sasa ila hizo games ndo zinaniboa
 
Nenda kwenye Setting, Apps & notification, default apps, opening links, instant apps weka off
 
G
Kuachana na hizo app za mviringo kuna hizo hapo juu kabisa kama games ambazo imeandikwa unaweza play without installation, Naomba nijue jinsi ya kuziondoa mana hua zinatoka zenyewe lakini baada ya dkk kadhaa zinarudi

View attachment 1715907
Fungua chrome tap 3 dots kulia kwako kisha scroll to setting then tafuta neno site settings then scroll mpaka popup Kisha disallow

Screenshot_20210303-011549.png
 
Badilisha Launcher, tumia hata ya Microsoft ila kam sio mpenzi wa mapicha picha ya icon za apps nakushauri Tumia launcher ya Ap15 hiyo inakupa majina tuu ya Apps
 
Badilisha Launcher, tumia hata ya Microsoft ila kam sio mpenzi wa mapicha picha ya icon za apps nakushauri Tumia launcher ya Ap15 hiyo inakupa majina tuu ya Apps
Yn mpaka sasa nmetumia launcher zaid ya ht 20 lkn hazijanivutia, zaid ya h tuu ndo nmeipenda ila hizo instant apps zinaniboa
 
Oya wakuu wangu wa nguvu, asanteni sana kwa wote mliokuwa tayari kunisaidia ili niifurahie simu yangu


Kuna baadhi ya settings mlikuwa mnaniambia nifanye lakini bado zikawa hazifanyi kazi kwangu ndipo nikapata wazo ni-Google jinsi ya kuondoa instant apps ndipo nikapata msaada rahisi hapa How To Disable Annoying Ads Showing On TECNO SmartPhone | TechIndulge ndipo nikafanikiwa kupata nilichokuwa nataka na mengine mengi zaidi

Asanteni sana wakuu 🙏🤝💪
 
Kuna baadhi ya app ambazo ni built in kwenye simu za techno infinix na itel sana zina pop up ads fuatilia zisimamishe kufanya kazi
Ndiko wanakopatia pesa. Last week nimesomw kuww hata xiomi kwenye mauzo ya simu zao wanachukua faida ndogo sana faida kubwa wanapata kwenye ads zinazotokea kwenye simu zao
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom