stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,228
- 5,132
Wanajamvi naomba mnijuze jinsi gani ya kumpata yule mwewe wa clouds Tv, manake sisi wakazi wa huku kirumba mwanza tumechoshwa na mgao wa umeme na barabara zimeoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembelea ofisi za clouds labda utamkuta huko hakikisha unamshikilia vizuri asije kukuponyokaWanajamvi naomba mnijuze jinsi gani ya kumpata yule mwewe wa clouds Tv, manake sisi wakazi wa huku kirumba mwanza tumechoshwa na mgao wa umeme na barabara zimeoza
Uliwahi kupeleka malalamikoa yako kwenye ofisi yoyote ya serikali mkuu.
Hebu jaribu kuelezea vzr unaandika harakaharaka kama unakimbizwa na wezi!?
Andika vzr upewe msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Yamekuwa hayo tena! Mlisema mbunge wa CCM anawafaa imekuwaje tena?Wanajamvi naomba mnijuze jinsi gani ya kumpata yule mwewe wa clouds Tv, manake sisi wakazi wa huku kirumba mwanza tumechoshwa na mgao wa umeme na barabara zimeoza
Tembelea ofisi za clouds labda utamkuta huko hakikisha unamshikilia vizuri asije kukuponyoka
Mbunge wenu ni wa chama gani mkuu?
Aisee siku hizi naona anaitwa Dr. Mabula ,sijui PHD alipata lini,hivi yule mbunge aliyepita kiwia hua anaishi pande hizo mkuu?Mbunge wetu ni naibu waziri wa ardhi Mh angelina Mabula,lakini hatujamuona jimboni tangia uchaguzi ulipoisha