Msaada: Jinsi ya kulea vifaranga vya kuku

samahani mkuu umenigusa sana....naomba maelekezo kidogo juu ya kutoa hiyo chanjo,vifaranga wangu wamekufa wote
Vifaranga kama vinapewa chanjo zote kama nilivyokwambia,ukawa unavipa multi vitamin,lakini pia uzingatie dawa ya minyoo,baada ya hapo mara nyingi sana tatizo hua ni magonjwa ya matumbo ambayo dawa yake ni ant biotic vifaranga hawawezi kufa.Kinyesi chao unatakiwa ukifuatilie mara kwa mara kwani magonjwa ya matumbo huo utayatambua kupitia kinyesi.Mfano ukiona wanaharisha kinyesi cha rangi ya brown jua hilo ni tatizo la ugonjwa wa coccidiosis na dawa ni ant biotic kama otc 20%.Kikubwa upende kujifunza na kuwa nao karibu.

Nakumbuka mwaka juzi nilinunua tetea 12 na jogoo moja mwezi wa pili lakini ndani mwaka ule nilikua na kuku wasio pungua 200 badae nilipata matatizo ya usimamizi shamba baada ya kua na mambo mengi nikaacha kufuga.Hili ni rahisi sana pia kwani mimi sijahadithiwa kwani nilifanya mwenyewe tena nikiwa na vifaa dunu kabisa.

Nilitengeza vibanda vyenye wastani wa futi tatu kwa tatu na urefu wakawaida hata futi mbili nikaziba sehemu zote nakuacha sehemu ya mbele niliweka nyavu.Lakini huku kwenye nyavu niliweka kitu mithili ya pazia kuniwezesha kufunga na kufungua ili ku control joto na mara nyingi usiku nilifunika kwasababu ya baridi.

Vibanda nilifanya vidogo hivyo kwani nilitumia taa za kandili/chemli kama chanzo cha joto hivyo kama eneo litakua kubwa ni vigumu kupata joto lakutosha.lakini pia nilitumia vyumba hivi vidogo kwani uzalishaji wangu wa vifaranga nilitumia kuatamishia kwa mama kuku hivyo ilikua ni kidogo.

Nilichokua nafanya kuku anapototoa nampokonya vifaranga siku hio hio nakuviweka kwenye hivi vitunzio vyangu wataalamu wanaita(bruda),Unapofanya hivi kama huyu kuku utampatia chakula akashiba ndani ya siku 20 anaanza kutaga tena hivyo mzunguko wakuzalisha unakua mkubwa.

Vifaranga nilikua navipatia chakula cha starter hii huvifanya kukua haraka lakini pia hua na afya bora pamoja na uwezo wakuhimili magonjwa.

Kikubwa kila kitu kinawezekana chamsingi kua makini na wafuatilie kwa ukaribu utafanikiwa
 
Vifaranga kama vinapewa chanjo zote kama nilivyokwambia,ukawa unavipa multi vitamin,lakini pia uzingatie dawa ya minyoo,baada ya hapo mara nyingi sana tatizo hua ni magonjwa ya matumbo ambayo dawa yake ni ant biotic vifaranga hawawezi kufa.Kinyesi chao unatakiwa ukifuatilie mara kwa mara kwani magonjwa ya matumbo huo utayatambua kupitia kinyesi.Mfano ukiona wanaharisha kinyesi cha rangi ya brown jua hilo ni tatizo la ugonjwa wa coccidiosis na dawa ni ant biotic kama otc 20%.Kikubwa upende kujifunza na kuwa nao karibu.

Nakumbuka mwaka juzi nilinunua tetea 12 na jogoo moja mwezi wa pili lakini ndani mwaka ule nilikua na kuku wasio pungua 200 badae nilipata matatizo ya usimamizi shamba baada ya kua na mambo mengi nikaacha kufuga.Hili ni rahisi sana pia kwani mimi sijahadithiwa kwani nilifanya mwenyewe tena nikiwa na vifaa dunu kabisa.

Nilitengeza vibanda vyenye wastani wa futi tatu kwa tatu na urefu wakawaida hata futi mbili nikaziba sehemu zote nakuacha sehemu ya mbele niliweka nyavu.Lakini huku kwenye nyavu niliweka kitu mithili ya pazia kuniwezesha kufunga na kufungua ili ku control joto na mara nyingi usiku nilifunika kwasababu ya baridi.

Vibanda nilifanya vidogo hivyo kwani nilitumia taa za kandili/chemli kama chanzo cha joto hivyo kama eneo litakua kubwa ni vigumu kupata joto lakutosha.lakini pia nilitumia vyumba hivi vidogo kwani uzalishaji wangu wa vifaranga nilitumia kuatamishia kwa mama kuku hivyo ilikua ni kidogo.

Nilichokua nafanya kuku anapototoa nampokonya vifaranga siku hio hio nakuviweka kwenye hivi vitunzio vyangu wataalamu wanaita(bruda),Unapofanya hivi kama huyu kuku utampatia chakula akashiba ndani ya siku 20 anaanza kutaga tena hivyo mzunguko wakuzalisha unakua mkubwa.

Vifaranga nilikua navipatia chakula cha starter hii huvifanya kukua haraka lakini pia hua na afya bora pamoja na uwezo wakuhimili magonjwa.

Kikubwa kila kitu kinawezekana chamsingi kua makini na wafuatilie kwa ukaribu utafanikiwa
nashukuru sana mkuu....usinichoke ndugu yangu,Nilianza kufuga na bahati nzuri kuku wangu walitotoa vifaranga wengi kwa wakati mmoja lakini baada ya mda mfupi walianza kufa kwa kasi mpaka nikaamua niwatoe kwenye banda.Leo ndio nimejua kosa nililofanya
Kuna hiyo dawa (otc 20%) inabidi niwanyweshe au kuna namna nzuri unaweza kunisaidia namna ya kuwapatia? Na hapo kwenye lishe ulikua unainunua au ulikua unatengeneza mwenyewe?
Usinichoke mkuu kwani naona tumaini limerudi kwasababu nilishakata tamaa
 
nashukuru sana mkuu....usinichoke ndugu yangu,Nilianza kufuga na bahati nzuri kuku wangu walitotoa vifaranga wengi kwa wakati mmoja lakini baada ya mda mfupi walianza kufa kwa kasi mpaka nikaamua niwatoe kwenye banda.Leo ndio nimejua kosa nililofanya
Kuna hiyo dawa (otc 20%) inabidi niwanyweshe au kuna namna nzuri unaweza kunisaidia namna ya kuwapatia? Na hapo kwenye lishe ulikua unainunua au ulikua unatengeneza mwenyewe?
Usinichoke mkuu kwani naona tumaini limerudi kwasababu nilishakata tamaa
OTC 20% inachanganywa kwenye maji,utakapoenda duka la dawa za mifugo waulize watakwambia namna ya uchanganyaji,sikushauri utengeneze starter ni bora ukanunue tu,vyakula vya kuku wakubwa unaweza ukafanya hivyo ila hii starter nenda kanunue kwani si vema ukabahatisha kutokana na rika la vifaranga wenyewe.
nina pc yangu nakumbuka kuna picha nilihifadhi humo lakini ant virus yake imeisha na nimeiona na mabadiliko vuta subira nitakutumia baadhi ya picha ya vibanda ninavyo vizungumza nikisha iweka sawa mkuu
 
OTC 20% inachanganywa kwenye maji,utakapoenda duka la dawa za mifugo waulize watakwambia namna ya uchanganyaji,sikushauri utengeneze starter ni bora ukanunue tu,vyakula vya kuku wakubwa unaweza ukafanya hivyo ila hii starter nenda kanunue kwani si vema ukabahatisha kutokana na rika la vifaranga wenyewe.
nina pc yangu nakumbuka kuna picha nilihifadhi humo lakini ant virus yake imeisha na nimeiona na mabadiliko vuta subira nitakutumia baadhi ya picha ya vibanda ninavyo vizungumza nikisha iweka sawa mkuu

Mi nafikiri kuweka yai linalohitaji kutotoleshwa kwenye fridge sio sahihi kwa msingi kwamba kwenye kuna hali ya ubaridi ambayo hua na unyevunyevu na hapo ndipo tatizo lipoanzia,nafirikiri tusitafute shortcut chamsingi ni kuweka mikakati yakupata mayai ndani ya siku saba,lakini pia kuna namna yakuyahifadhi mayai kwenye trei eidha mchongoko uwe juu ama ule ule kama uviringe uwe chini hivyo fuatilia vizuri,lakini pia uwe na generator kwaajili yakudhibiti ukatikaji wa umeme,lakini pia hizi mashine zetu nazo lazima tuhakikishe ubora wake kama uko vizuri

Kimsingi mashine itabaki kua mashine na kuku atabaki kua kuku japo mashine imetengenezwa kuakisi afanyavyo kuku.Lakini kwa hili utagundua kwamba mashine haijaweza kua na ufanisi kama kuku 100%.
Tena kwa wadadisi wa mambo hua wanasema hizi mashine hua hazifanyi vizuri kipindi cha joto jambo ambalo mimi sijalifuatilia hivyo sinauhakika ila kwa msingi huo utagundua kwamba mashine unahitaji pia ufahamu vizuri hasa kujifunza kwa wenye uzoefu.
Kimsingi mashine inahitaji yai ambalo halijaanza mabadiliko.Bado mi naamini kama yai linaweza hifadhiwa kwenye joto lisiloweza kuliathiri litaweza kukaa muda mwingi zaidi kabla yakuwekwa kwenye mashine.
Chukua mfano wa kanga ambaye anauwezo wakutaga mayai hata zaidi ya 70 lakini stil kama utachukua mayai yale thelathini ya mwisho ukamuwekea bado atatotoa.
Kiwa ujumla unahitaji kuweka mkazo kuandaa matetea yakutosha ili waweze kukutagia ndani ya muda muafaka

Vifaranga kama vinapewa chanjo zote kama nilivyokwambia,ukawa unavipa multi vitamin,lakini pia uzingatie dawa ya minyoo,baada ya hapo mara nyingi sana tatizo hua ni magonjwa ya matumbo ambayo dawa yake ni ant biotic vifaranga hawawezi kufa.Kinyesi chao unatakiwa ukifuatilie mara kwa mara kwani magonjwa ya matumbo huo utayatambua kupitia kinyesi.Mfano ukiona wanaharisha kinyesi cha rangi ya brown jua hilo ni tatizo la ugonjwa wa coccidiosis na dawa ni ant biotic kama otc 20%.Kikubwa upende kujifunza na kuwa nao karibu.

Nakumbuka mwaka juzi nilinunua tetea 12 na jogoo moja mwezi wa pili lakini ndani mwaka ule nilikua na kuku wasio pungua 200 badae nilipata matatizo ya usimamizi shamba baada ya kua na mambo mengi nikaacha kufuga.Hili ni rahisi sana pia kwani mimi sijahadithiwa kwani nilifanya mwenyewe tena nikiwa na vifaa dunu kabisa.

Nilitengeza vibanda vyenye wastani wa futi tatu kwa tatu na urefu wakawaida hata futi mbili nikaziba sehemu zote nakuacha sehemu ya mbele niliweka nyavu.Lakini huku kwenye nyavu niliweka kitu mithili ya pazia kuniwezesha kufunga na kufungua ili ku control joto na mara nyingi usiku nilifunika kwasababu ya baridi.

Vibanda nilifanya vidogo hivyo kwani nilitumia taa za kandili/chemli kama chanzo cha joto hivyo kama eneo litakua kubwa ni vigumu kupata joto lakutosha.lakini pia nilitumia vyumba hivi vidogo kwani uzalishaji wangu wa vifaranga nilitumia kuatamishia kwa mama kuku hivyo ilikua ni kidogo.

Nilichokua nafanya kuku anapototoa nampokonya vifaranga siku hio hio nakuviweka kwenye hivi vitunzio vyangu wataalamu wanaita(bruda),Unapofanya hivi kama huyu kuku utampatia chakula akashiba ndani ya siku 20 anaanza kutaga tena hivyo mzunguko wakuzalisha unakua mkubwa.

Vifaranga nilikua navipatia chakula cha starter hii huvifanya kukua haraka lakini pia hua na afya bora pamoja na uwezo wakuhimili magonjwa.

Kikubwa kila kitu kinawezekana chamsingi kua makini na wafuatilie kwa ukaribu utafanikiwa
Mkuu naomba nisaidie kuhusu kutaka kuchanganya vifaranga chotara na wakienyeji maana nna kuku wanaatamia hapa je naweza kuwa weka pamoja watalelewa na huyu tetea anaeatamia hapa Bila tatizo lolote

Na ahsantee kwa ushauri wako mana unatufungua wengi mkuu
 
Mkuu naomba nisaidie kuhusu kutaka kuchanganya vifaranga chotara na wakienyeji maana nna kuku wanaatamia hapa je naweza kuwa weka pamoja watalelewa na huyu tetea anaeatamia hapa Bila tatizo lolote

Na ahsantee kwa ushauri wako mana unatufungua wengi mkuu
Mi ningekushauri tofauti kidogo,tengeneza kakibanda kadogo kama nilivyo kwambia hapo juu,urefu wake kwenda juu unaweza ukawa kama urefu hata wa taa ya kandili pia sio mbaya,chukua vifaranga vyote hivyo changanya humo,kwa usiku weka taa ya kandili ndani kwaajili ya baridi au hata mchana pale unapoona kuna dalili ya baridi kisha pata kitambaa funika upande wa nyavu uache sehemu ya hewa kidogo.

Kua makini kwani kwa vifaranga vilivyo ndani ya wiki moja utahitaji kuviwekea taa hata mchana kikubwa ni kuvichunguza kwa dalili nilizokwambia,wakati huo kwakua kabanda ni kadogo joto linapozidi wanakosa sehemu yakukimbilia hivyo wanaweza kufa kikubwa ni umakini

kwa siku ya kwanza kuwa makini ili ujifunze mwenendo wa joto kwani likizidi vinakufa na kukiwa na barid pia vinaathirika na nimonia.Ni rahisi kulitambua joto la wastani kama nilivyokwambia hapo juu.Likizidi vifaranga husambaa huku vikitanua mbawa zao kupunga upepo pamoja na kuachama midomo ili kutoa joto ndani ya miili yao na kukiwa na baridi hukusanyana pamoja hapo inaashiria kwamba sio uongeze kandili nyingine ndani,laa hasha bali unatakiwa uongeze kuziba zaidi kitambaa chako kwenye nyavu.

Vifaranga vilivyovizima ni vichangamfu sana na huruka ruka kwa kucheza mara kwa mara hapa ni rahisi kutambua mapema endapo kuna kifaranga kigonjwa utaona kinakua kipole na kujikunyata,mara ukiona hivyo anza kuchunguza kinyesi chake mara nyingi hii ni njia nzuri yakutambua tatizo.

Kama vifaranga utawalisha starter humu kwenye bruda patahitaji taa ya kandili kama wastani wa wiki tatu tu baada ya hapo vifaranga vitakua na ukubwa ambao joto unaweza uka control kwakutumia kufunga na kufungua pazia la banda.

Sishauri umwachie mama yao hao vifaranga vinginevyo umeshindwa kabisa na kuhusu kuwachanganya vifaranga kama mama yao havipigi hivyo vifaranga ambavyo si vyake hakuna tatizo mchanganyie ila uwe makini kwani kuku anatabia yakukariri vifaranga vyake na vile ambavyo si vyake huvipiga hata kuviua lakini pia ukimzidishia vikawa vingi atashindwa kuvikumbatia na vitaanza kufa kwa baridi
 
mim nina swali hapo kwenye mwanga ama taa sielew taa inawashwa mara ngapi kwa,siku haswaa kwa mabanda yenye wavu tu jee ni.masaa mangap usiku ama mchana?
Joto/baridi kwa kifaranga halina saa wala siku,tumia hizo dalili nilizoeleza kuweza kutambua kifaranga anaesikia joto ama baridi au alie kwenye hali ya kawaida ili kuhakikisha vifaranga vina kua na joto la wastani wakati wote.

Pia nimesema kama vifaranga vinafugiwa kwenye chumba kikubwa jiko la mkaa ni gharama ndogo zaidi kuliko umeme
 
Nikupatie uzoefu wangu kidogo. wakishatotolewa kuanzia siku ya kwanza wapatie antbiotic mfano OTC plus, hii husaidia kukausha kitovu na kuzuia magonjwa ya kuhara (mharo husababishao kinyesii kuganda matakoni)
siku ya saba wapatie chanjo ya new castle, siku ya 14 wapatie chanjo ya Gumboro, siku ya 28 rudia tena chanjo ya new castle, baada ya mwezi mmoja wanjache ndui na baada ya miezi miwili wapatie dawa ya minyoo.
wakati wote huu endelea ku monitor kinyesi chao, kama kinyesi kinaanza kubadirika na kuwa na rangi ya ugoro au kuchanganikana na damu ujue wameshambuliwa na coccidiosis, wataftie antibiotic zenye sulfa kama triple sulpha, anticox, etc. hakikisha hawapigwi na baridi kali.

kwa mlolomgop huo sidhani kama utapoteza kifaranga hata kimoja. ila itakugharimu iwapo unatotolesha vifaranga vichache. baadhi ya chanjo ukiifungua ndo mwisho wa matumizi. imagini umetumia sh. 3500 kwa chanje ya new castle ya kutosha vifaranga 400, we una vifaranga 20 tu, hapo umeingia hasara ingawa 3500 inaonekana ni hhela ndogo. au unanunua packet ya 6500 ambao inakaa muda mrefu na mwisho wa siku inaganda au kupoteza nguvu.

hivyo kama umeamua kufuga jitahidi kutotolesha vifaranga vingi kwa wakati mmoja maana itakupunguzia gharama na ni rahisi kuwahudumia na mahitaji ya space yanakuwa sahihi.

natumai nimekusaidia kiasi fulani
 
OTC 20% inachanganywa kwenye maji,utakapoenda duka la dawa za mifugo waulize watakwambia namna ya uchanganyaji,sikushauri utengeneze starter ni bora ukanunue tu,vyakula vya kuku wakubwa unaweza ukafanya hivyo ila hii starter nenda kanunue kwani si vema ukabahatisha kutokana na rika la vifaranga wenyewe.
nina pc yangu nakumbuka kuna picha nilihifadhi humo lakini ant virus yake imeisha na nimeiona na mabadiliko vuta subira nitakutumia baadhi ya picha ya vibanda ninavyo vizungumza nikisha iweka sawa mkuu
Ahsante sana ndugu yangu
 
OTC 20% inachanganywa kwenye maji,utakapoenda duka la dawa za mifugo waulize watakwambia namna ya uchanganyaji,sikushauri utengeneze starter ni bora ukanunue tu,vyakula vya kuku wakubwa unaweza ukafanya hivyo ila hii starter nenda kanunue kwani si vema ukabahatisha kutokana na rika la vifaranga wenyewe.
nina pc yangu nakumbuka kuna picha nilihifadhi humo lakini ant virus yake imeisha na nimeiona na mabadiliko vuta subira nitakutumia baadhi ya picha ya vibanda ninavyo vizungumza nikisha iweka sawa mkuu
pamoja sana
 
hiyo dawa ya otc 20 ni shilingi ngapi? jee hakuna dawa mbadala kama za binadam za kuwapa vifaranga? maana wengine maduka ya dawa za kuku yapo mbali sana
 
Aisee mimi vifaranga wananitesa sana sijawahi kukuza vifaranga zaidi 2 kati ya vifaranga 100,wanaweza wakatotolewa vifaranga 60 pengine nisiambulie kifaranga hata kimoja,vifaranga vinakuwa vimechangamka mwanzoni kwenye wiki ya kwanza,vinapoanza wiki 2 au 3,vinaanza kudhoofika,vinakosa hamu yakula,wakati mwingine vinatetemeka,macho yanakua kama ya mlevi wakati mwingine vinakuwa kama vimevaa koti,pengine utakuta jicho la upande mmoja linatoa kama machozi na wakati mwingine utakuta vinaachama mdomo utafikiri vinatafutiza pumnzi na vinakufa baada ya muda mfupi.
 
Aisee mimi vifaranga wananitesa sana sijawahi kukuza vifaranga zaidi 2 kati ya vifaranga 100,wanaweza wakatotolewa vifaranga 60 pengine nisiambulie kifaranga hata kimoja,vifaranga vinakuwa vimechangamka mwanzoni kwenye wiki ya kwanza,vinapoanza wiki 2 au 3,vinaanza kudhoofika,vinakosa hamu yakula,wakati mwingine vinatetemeka,macho yanakua kama ya mlevi wakati mwingine vinakuwa kama vimevaa koti,pengine utakuta jicho la upande mmoja linatoa kama machozi na wakati mwingine utakuta vinaachama mdomo utafikiri vinatafutiza pumnzi na vinakufa baada ya muda mfupi.
Unazingatia ant biotics na multvitamin, soma huu uzi mwanzo mwisho ukifuata vizuri maeelekezo ya wadau humu utafanikiwa.
 
Mkuu mimi naona kama lengo ni kuzalisha vifaranga ili wakue ni bora kununua kwa wanaozalisha na incubator zao huku ukiendelea ku-pata uzoefu wa jinsi ya kukuza ili uendelee kukuza biashara huku ukijifunza. Incubator ni njia nzuri zaidi ya kuzalisha vifaranga kwa wingi lakini chanzo cha mayai yenye uwezo wa kutotolewa ni changamoto sababu unahitaji kuwa na idadi ya kubwa ya kuku waliotaga mayai kwa kupandwa na jogoo ambayo ndiyo yenye uwezo wa kutotolewa. Kukusanya mayai kwaajili ya kutotolesha ni mtihani sana na pengine atokee kwenye huu uzi atuelimishe zaidi au kama kuna sehemu maalum yenye joto la wastani ambalo haliharibu mayai. Nimevutiwa na uzi maana nami ni mdau wa hii kitu.
 
Mkuu mimi naona kama lengo ni kuzalisha vifaranga ili wakue ni bora kununua kwa wanaozalisha na incubator zao huku ukiendelea ku-pata uzoefu wa jinsi ya kukuza ili uendelee kukuza biashara huku ukijifunza. Incubator ni njia nzuri zaidi ya kuzalisha vifaranga kwa wingi lakini chanzo cha mayai yenye uwezo wa kutotolewa ni changamoto sababu unahitaji kuwa na idadi ya kubwa ya kuku waliotaga mayai kwa kupandwa na jogoo ambayo ndiyo yenye uwezo wa kutotolewa. Kukusanya mayai kwaajili ya kutotolesha ni mtihani sana na pengine atokee kwenye huu uzi atuelimishe zaidi au kama kuna sehemu maalum yenye joto la wastani ambalo haliharibu mayai. Nimevutiwa na uzi maana nami ni mdau wa hii kitu.
 
Mkuu mimi naona kama lengo ni kuzalisha vifaranga ili wakue ni bora kununua kwa wanaozalisha na incubator zao huku ukiendelea ku-pata uzoefu wa jinsi ya kukuza ili uendelee kukuza biashara huku ukijifunza. Incubator ni njia nzuri zaidi ya kuzalisha vifaranga kwa wingi lakini chanzo cha mayai yenye uwezo wa kutotolewa ni changamoto sababu unahitaji kuwa na idadi ya kubwa ya kuku waliotaga mayai kwa kupandwa na jogoo ambayo ndiyo yenye uwezo wa kutotolewa. Kukusanya mayai kwaajili ya kutotolesha ni mtihani sana na pengine atokee kwenye huu uzi atuelimishe zaidi au kama kuna sehemu maalum yenye joto la wastani ambalo haliharibu mayai. Nimevutiwa na uzi maana nami ni mdau wa hii kitu.
 
Mimi mfungaji wa kuku wa kienyeji
Nitatizo ktk kulea vifaranga


Naomba msaada njia gan bora
Ya kulea vifaranga

Maana nina kuku wangu watotolesha vifaranga 11 mpaka 13

Ila kwenye kulea wanabaki 4 mpaka 3

Plz msaada


Mbona simple tu, wakilia usiwapige ni watoto hao bado. Dawa yao ni kuwapa maziwa ya ng'ombe tu, watanyamaza kulia na watakuwa vizuri.
 
Aisee mimi vifaranga wananitesa sana sijawahi kukuza vifaranga zaidi 2 kati ya vifaranga 100,wanaweza wakatotolewa vifaranga 60 pengine nisiambulie kifaranga hata kimoja,vifaranga vinakuwa vimechangamka mwanzoni kwenye wiki ya kwanza,vinapoanza wiki 2 au 3,vinaanza kudhoofika,vinakosa hamu yakula,wakati mwingine vinatetemeka,macho yanakua kama ya mlevi wakati mwingine vinakuwa kama vimevaa koti,pengine utakuta jicho la upande mmoja linatoa kama machozi na wakati mwingine utakuta vinaachama mdomo utafikiri vinatafutiza pumnzi na vinakufa baada ya muda mfupi.
Unafuga kisasa? Tumia fomola hii kuanzia siku ya mwanzo mpaka miezi 5.
739fad48793757c6260813e536b38c1b.jpg
34ae54cb9c8d331b28ad18f03e82017d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom