Wakuu habari
Kuna mtu ananidai 150000 mwanzo alikua ni jamaa yangu sana lakini aliniudhi kuja kuniripot chuo kwamba ananidai na siku ilenilikubal mbele ya DARUSO (ni uongoz wa wanafunzi UDSM) na sheria za UDSM ni lazma ulipe kama unadaiwa na mwanafunzi mwenzako tu yaani wa UDSM haijalishi yupo college gani au MUCE na DUCE .
Mimi nasoma DUCE sasa jamaa anasoma MWENGE kwa iyo sheria awez kunidai chuoni sasa leo kaja DSM et kunidai presdent na viongoz wake wakanipigia simu nikasema sipo chuo nipo mbali ..
Sasa hivi nipo nakunya bia hapa ili nichangamke alafu niende..sasa naombeni msaada ni jinsi ya kukwepa ili deni maana kashaniaibisha sana huyu jamaa na mimi nimeapa simlipi. Msaada jamani
Kuna mtu ananidai 150000 mwanzo alikua ni jamaa yangu sana lakini aliniudhi kuja kuniripot chuo kwamba ananidai na siku ilenilikubal mbele ya DARUSO (ni uongoz wa wanafunzi UDSM) na sheria za UDSM ni lazma ulipe kama unadaiwa na mwanafunzi mwenzako tu yaani wa UDSM haijalishi yupo college gani au MUCE na DUCE .
Mimi nasoma DUCE sasa jamaa anasoma MWENGE kwa iyo sheria awez kunidai chuoni sasa leo kaja DSM et kunidai presdent na viongoz wake wakanipigia simu nikasema sipo chuo nipo mbali ..
Sasa hivi nipo nakunya bia hapa ili nichangamke alafu niende..sasa naombeni msaada ni jinsi ya kukwepa ili deni maana kashaniaibisha sana huyu jamaa na mimi nimeapa simlipi. Msaada jamani