Msaada, jinsi ya kujipatia ardhi kama zawadi

Chemagati

JF-Expert Member
Apr 3, 2018
214
284
Katika familia, mzazi anataka kutoa moja kati ya Mali zake kwa mtoto wake, ana watoto wanne anampatia mmoja. Je ili swala ili lisilete mitafaruku baadae hatua zipi zifuatwe na mzazi katika kukabidhi kwa mtoto wake huyo.
 
Katika familia, mzazi anataka kutoa moja kati ya Mali zake kwa mtoto wake, ana watoto wanne anampatia mmoja. Je ili swala ili lisilete mitafaruku baadae hatua zipi zifuatwe na mzazi katika kukabidhi kwa mtoto wake huyo.
Sheria haimzuii mzazi kugawa mali zake atakavyo akiwa hai! Anagawa anavyotaka, huwezi kumwingilia. Ila likija suala la wosia, lazima sharia za wosia zifuatwe, mila husika katika kugawa mali ???? na pia humo hakuna sheria inayomlazimisha /kumpangia agawe vipi mali zake LABDA kama ni muislamu ambao mirathi inatawaliwa na Sharia! Lakini akiwa hai anafanya atakavyo na mali zake.
 
Sheria haimzuii mzazi kugawa mali zake atakavyo akiwa hai! Anagawa anavyotaka, huwezi kumwingilia. Ila likija suala la wosia, lazima sharia za wosia zifuatwe, mila husika katika kugawa mali ???? na pia humo hakuna sheria inayomlazimisha /kumpangia agawe vipi mali zake LABDA kama ni muislamu ambao mirathi inatawaliwa na Sharia! Lakini akiwa hai anafanya atakavyo na mali zake.
He anatakiwa akabidhi kwa njia watoto wote wakiwepo au yeye na mkabidhiwa
 
mzazi anaweza kuhamisha haki yake ya umiliki wa ardhi kwenda kwa mwanae yoyote amtakae akiwa hai bado, ndio hio tunasema disposition of land through gift as according to natural love and affection.

kuna documents zinajazwa, kisha zinapelekwa kwa msajili wa nyaraka za serikali, na hatua zingine chache.
 
Back
Top Bottom