Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,589
unamjua Duke?Nilishaachaga mkuu...japo nikiamua kurud narudi kwelikweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamjua Duke?Nilishaachaga mkuu...japo nikiamua kurud narudi kwelikweli
Ok mkuu nipe muda kidogo, bado nipo harakati.tupia vitu na mimi ntatupia
Hamna noma mkuu... Muda si mrefu ntatupia..tupia vitu na mimi ntatupia
Mkuu, kuliko kuhangaika na hiki kitu kimoja kwa nini usidevelop passion ya muziki na ukajifunza from scratch, ukafanya makosa machache ambayo yatakufanya uwe producer mzuri zaidi. Utajipatia kazi yenye malipo mazuri na kukutana na watu wanaopenda muziki kama wewe.
Ingia Youtube pitia walkthrough ya fl studio. Lakini usitake kukariri vitu just angalia vitu muhimu na jinsi ya kuvipata. Kama Piano roll, drum kits, installing VST plugins, effects, baadhi ya mbinu katika piano roll n.k.
Baada ya hapo ukajifunza Music Theory, kuna youtube channel ya Hack Music Theory wako vizuri sana, watakupa na free ebook ujifunze music theory. Baada ya hapo unaweza ukajifunza hata instrument moja ili kupanua wigo wa ujuzi wa muziki. Then ukaanza kutengeneza beats.
Cha muhimu kuwa experimental sana. Jaribu kutengeneza vitu original na vya kwako mwenyewe. Utafurahia sana na itakuongezea hata ubora wa maisha yako. Muziki ni tiba nzuri sana. Imagine unaamka asubuhi unatengeneza kitu ambacho hakikuwepo bado, thats creativity.
Nikipata muda ntatupia baadhi ya kazi zangu uzisikilize.
Niache Nteseke
Hamna noma mkuu... Muda si mrefu ntatupia..
Asante ila ina plugins chache ni kama za free version tu..Nasikia imefikia version ya 20 sasa hivi mkuu. Download hii hapa chief FL Studio Producer Edition + Signature Bundle Download
Duke The Tanchez, Pallah, Daz Naledge, P-funk, J-Ryder, Hawa jamaa midundo yao sio ya kawaida aisee jamaa wanajua kusuka ngumu! Sijui washaishia wapi tu baadhi yao kama Pallah na Daz Naledge 😢Sanaaaaa.....yaani nikija balaa lake nakuja kuwa msanii mkubwa Zaid ya Diamond....namkubali Sana Dj Premier,Dre,Pete Rock,Appolo Brown,Duke,P Funk na wengine wengi
Duke na .Palllah wapo....Bin laden naye nomaDuke The Tanchez, Pallah, Daz Naledge, P-funk, J-Ryder, Hawa jamaa midundo yao sio ya kawaida aisee jamaa wanajua kusuka ngumu! Sijui washaishia wapi tu baadhi yao kama Pallah na Daz Naledge
Ebana kama una pini za Bin Laden nisaidie mkuu make ninazo chache sana (majina tu ya nyimbo yanatosha), Namkubali mno yule mwamba, Bila kumsahau Marco Chali daah nae si haba kwenye kuunda beats nzuri za kuimba ana radha flani hivi kwenye beats zake.. Na kuna RashDon yule!Duke na .Palllah wapo....Bin laden naye noma
Huwa kwenye mp3 file na huwa xported kama silence kwenye DAW nyingi unapoexport mp3, kwasabu kitendo cha ku export track kwenye DAW Kama mp3 ni sawa na kupunguza size na quality ya track nzima, ilihali vifaa vingi vinaplay mp3 files.Hiyo delay huwa inajitokeza unapoweka mp3 song kwenye FL mkuu...? Na huwa inakuwa kwenye mp3 uliyoiweka au kwenye instruments utakazozipiga juu ya hiyo beat kiongozi...?
Angalia google jinsi ya kucalculate bpm ya tempo unayoipenda, then unapofanya mixing unacross multiply delay yako na delay unayoifanyia kazi then utaweza pata details zote za hiyo tempo unayoifanyia kazi.Huku ku-calculate track bpm kwa google ni kwa kutumia software, website au una-search name of the track kupitia google mkuu...?
Instrument zitakuwa compressed kwenye same wav hivyo zitakuwa hazijajitenga kila moja kivyake, hautokuwa huru kufix detail ya kila sauti.Details gani nitazi-miss kiongozi wakati wa kufanya rendering...?. Piano sio mtaalam saaaaan ila kwa kutumia sikio naweza kujua tu kuwa kuna kitu kipo mje ya key mkuu.
Unaporoot ktk different mixer track manaake kila kifaa kitakuwa na mix track yake, hivyo utaweza icontrol hiyo beat kama ilivyo na instrument utakazoongeza kama zilivyoDon't forget to route into different mixer tracks, unaweza kunifafanulia hapo kiongozi...?
Natanguliza shukran kwako mkuu.