asante sana mkuu ila kwa window 10 pro inay app inafany kaz au mpka nitumie window 7 bite 32Kikubwa uwe na laptop/ desktop.
Waya wa USB.
Download firmware ya simu yako.
Download Samsung Usb drivers...
Unamaanisha nini hapa? Mi nishaflash kwa Windows 7,8 na 10.asante sana mkuu ila kwa window 10 pro inay app inafany kaz au mpka nitumie window 7 bite 32
Mkuu nimegoogle simu yako aisee kwa hii bila box sioni ukitoboa.asante sana mkuu ila kwa window 10 pro inay app inafany kaz au mpka nitumie window 7 bite 32
nacho maanisha iyo app inakubar kwenye Windows 10 bite 64Unamaanisha nini hapa? Mi nishaflash kwa Windows 7,8 na 10.
Duuh kipengele sioMkuu nimegoogle simu yako aisee kwa hii bila box sioni ukitoboa.
Unaweza jaribu na cracked Miracle box.Duuh kipengele sio
pa1 sana mkuu acha nijaribu hiyoUnaweza jaribu na cracked Miracle box.
Kutoka hapa(lazma utengeneze account hovatek ndio uweze download): Miracle Box / Thunder setup latest versions and drivers
Flash file yake unaweza pata hapa: Samsung E3210 Stock Firmware ROM (Flash File)
Hilo box linakubali kweli mkuu?Unaweza jaribu na cracked Miracle box.
Kutoka hapa(lazma utengeneze account hovatek ndio uweze download): Miracle Box / Thunder setup latest versions and drivers
Flash file yake unaweza pata hapa: Samsung E3210 Stock Firmware ROM (Flash File)
Kuna zilizoandikwa (+Loader). Hzo hazihitaji boxHilo box linakubali kweli mkuu?
asante mkuu, alafu nina tatizo flash yangu ina RAW protection yan nimehangaika kuifomat ila nimechemka..Kuna zilizoandikwa (+Loader). Hzo hazihitaji box
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us