snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
habari wanaJF,nina swali langu na ningependa sana kupata maoni yenu.naomba uchukulie kama ingekuwa wewe ungetumia njia gani.tuseme unataka kutoa ufadhili kwa watoto wasio na uwezo wa kukidhi gharama za masomo yao hadi hapo watakapofikia,ukawakusanya katika kituo na wakajua kwamba ni wewe unayewalipia gharama za chakula,stationery na malazi wawapo shuleni,na baada ya kumaliza kwao masomo,ungependa wao pia wasaidie watoto wengine ambao watakuwa hawana uwezo wa kujisomesha kwa kipindi hicho,je utafanyaje ili wawe dedicated kujitolea kwa watoto wa kizazi kijacho wasio na uwezo?......tafadhali comment ungefanyaje,au ungetumia njia gani,nashukuru sana kwa mchango wako.