Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,696
- 8,498
Kwann unasema ivoBLS big nooo! Ya nini kuficha tunaongea ukwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann unasema ivoBLS big nooo! Ya nini kuficha tunaongea ukwel
Nimechaguliwa BCS of education SUA nina two ya 11 nimesoma PCB yaani nimepata Chem C Bios C na Phy E nilikuwa nauliza je na weza badilisha course na niende BVM?
Na kama na weza njia zipi nizifanye za haraka kwa muda huu maana nimechaguliwa pia Diploma ya Clinical Medicine asante sanaa
Pale mm food sasa sijaijua kiundani zaid naomba maelezo kidogo
Mimi nimesoma FST, nakula matunda ya nchi!!
Hiyo ndo kozi ya 1 kwa ubora pale sua, inafuata aea
Naomba msaada wako kudadavua zaidi kuhusu uzuri wa AEAMimi nimesoma FST, nakula matunda ya nchi!!
Hiyo ndo kozi ya 1 kwa ubora pale sua, inafuata aea
Hiyo kozi imekaa poa sema inachukua watu wengi sanaa...Naomba msaada wako kudadavua zaidi kuhusu uzuri wa AEA
Bvm ya nini kaka?
Hiyo kozi mtaani haifai, kozi ya maana sua ni Food science, human nutrition na Aea
Agricultural economics and agribusiness.Aea kirefu chake nn
Nimechaguliwa BCS of education SUA nina two ya 11 nimesoma PCB yaani nimepata Chem C Bios C na Phy E nilikuwa nauliza je na weza badilisha course na niende BVM?
Na kama na weza njia zipi nizifanye za haraka kwa muda huu maana nimechaguliwa pia Diploma ya Clinical Medicine asante sanaa
mkuu mbona tunasikia wengi tu wanahamiaga main camp hata kutoka vyuo vingine ugumu unaosema unatokea wapi Wakati ni chuo kimojaMkuu Ni vigumu kupata nafasi BVM kwa ufaulu wa physics ulio nao harafu huwa Kuna ugumu Sana mtu kuhama kutoka mazimbu cumpus to Main cumpus lakini viceversa yake Ni simple tu maana program nyingi zinazopatikana kampas kuu huwa zipo very stricted kwenye masomo ya sayansi tu na ufaul pia mfano Engineering program na BVM.. naongea Ivo kwasabab naijua sua vizur Sana.. na kingine unaweza ukawa na sifa zote za kusoma program unayotak kuhamia Ila ukakuta imejaa tayar kwahiyo hapo automatically hutapata nafasi haijalishi una sifa zote au laah..
Ushauri wangu kwako; jitahidi uwahi mapema ili uje ufuatilie suala Hilo kabla nafasi hazija jaa lkn pia jua kabisa hiyo E ya physics inaweza kuwa tatizo japo kwa bahati unaweza ukafanikiwa..
aea ndo kozi gani mkuu..?Mimi nimesoma FST, nakula matunda ya nchi!!
Hiyo ndo kozi ya 1 kwa ubora pale sua, inafuata aea
nakushauri kasome clinical medicine bvm kwenda pale ile faculty sio mchezo ana marino balaa utaishia kupoteza muda na wakati pamoja na nguvu wale jamaa wana masharti na wanajikuta ni chuo ndani ya sua wakishachagua watu wao wamechagua hutoweza kuingia pale...halafu kibaya ni kwamba hiyo bcs ya education ipo mazimbu bora ingakua karibu na huku main campus kama bls amabapo ni faculty mojaNimechaguliwa BCS of education SUA nina two ya 11 nimesoma PCB yaani nimepata Chem C Bios C na Phy E nilikuwa nauliza je na weza badilisha course na niende BVM?
Na kama na weza njia zipi nizifanye za haraka kwa muda huu maana nimechaguliwa pia Diploma ya Clinical Medicine asante sanaa
we ndugu mimi nimesoma sua naijua vizurio pale veterinary so pa kuingia ovyomkuu mbona tunasikia wengi tu wanahamiaga main camp hata kutoka vyuo vingine ugumu unaosema unatokea wapi Wakati ni chuo kimoja
Na kozi nyingine ina kuaje mfano unatoka aea mazimbu kuhamia agriculture general main campus nayo inasumbuawe ndugu mimi nimesoma sua naijua vizurio pale veterinary so pa kuingia ovyo
kiukweli mkuu process za kuhama pale sua ni ngumu sana yaani wao wenyewe wahusika ndio wanazifanya kua ngumuN
Na kozi nyingine ina kuaje mfano unatoka aea mazimbu kuhamia agriculture general main campus nayo inasumbua
Ila wanaofanikiwa kuhama in wengi au no idadi ndogo sanakiukweli mkuu process za kuhama pale sua ni ngumu sana yaani wao wenyewe wahusika ndio wanazifanya kua ngumu