Melxcom991
Member
- Aug 2, 2021
- 48
- 25
Samahanini.kuna mdogo wang kachaguliaw UDOM course ya IT,anataka akajaribu kufanya transfer ya course kutoka course ya IT kwenda MD kweny matokeo yake ya form six ana D flat dvs 2 point 12,,,,je inawezekana???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri muache asome IT akisoma na kuweka juhudi zaidi kwa vitendo hatawahi kujutia uamuzi wa kubaki, anyway MD kwa matokeo ya DDD labda yaweza kuwa bahati yakeSamahanini.kuna mdogo wang kachaguliaw UDOM course ya IT,anataka akajaribu kufanya transfer ya course kutoka course ya IT kwenda MD kweny matokeo yake ya form six ana D flat dvs 2 point 12,,,,je inawezekana???
kwahiyo MD amekidhi vigezo?Ushauri muache asome IT akisoma na kuweka juhudi zaidi kwa vitendo hatawahi kujutia uamuzi wa kubaki, anyway MD kwa matokeo ya DDD labda yaweza kuwa bahati yake
kwan vigezo vya MD nivipi?Hana vigezo vya kusoma MD Wala pharmacy ata environmental health labda atafute kozi zingine
Kweni cut off point kwa MD mwaka huu zipoje?Vigezo vya MD hajakidhi, pitia vizuri guide book ya TCU. Hawezi soma MD kwa bongo labda nje.
siwaliisem mwishi ni 6Kweni cut off point kwa MD mwaka huu zipoje?
Ni kweli mkuu ushindani ni mkubwa na sizani kama kuna mwenye DDD anasoma md kwa nchi hiiHAIWEZEKANI.
DDD hapati MD popote pale Tanzania sababu ya competition.
Mwacheni asome IT, akiweka juhudi atakuwa mtu mzito kama Chief-Mkwawa ambaye pia amesoma hapo hapo UDOM.