complexi
Member
- Jul 6, 2021
- 67
- 82
Habari wana JF, matumaini yangu wote ni wazima na mnaendelea vyema na shughuli za ujenzi wa nchi na kujipatia kipato pia.
Kama kichwa kijielezavyo naomba msaada wenu kwa anaefahamu process za kupata TIN Number, i mean gharama na vitu ambavyo nahitajika kuwa navyo, maana ninampango wa kutafuta iyo namba lakini sieelewi pakuanzia .
Naombeni msaada wenu.
Kama kichwa kijielezavyo naomba msaada wenu kwa anaefahamu process za kupata TIN Number, i mean gharama na vitu ambavyo nahitajika kuwa navyo, maana ninampango wa kutafuta iyo namba lakini sieelewi pakuanzia .
Naombeni msaada wenu.