Naombeni msaada wa kujua Technical requirement na vifaa Vyote vinavyoitajika nikiwa Nataka kufungua kituo cha Radio FM.

Kwa maelezo rejelea ya Mkuu Compact, unatakiwa uwe na mtaji kuanzia 100mil
 
Wadau naomba mnisaidie mchakato wa kufungua commercial FM Radio. Na hasa gharama ZAKE upande wa Kodi na mchakato mzima. Na pia mnisaidie kama ni lazima nijenge mnara wangu je hakuna wa kukodi?
 
Niliwahi kufanya kazi huko kama presenter ila inatakiwa mtaji wa kutosha ili kituo chako kisimame maana mwanzo ukiwa mzuri basi tambua kuwa utajijengea mazingira mazuri kibiashara.

Kuna vifaa vyenye gharama kubwa Mnara, itategemea na kwako wewe unataka mnara wa aina gani maana inazidiana uwezo wa kurusha matangazo na kama utaujenga mwenyewe basi hakikisha kuwa umeme unakuwepo wa kutosha na mara nyingi huwa inawekwa kwenye miinuko (milima) katika redio hicho ndicho kitu cha muhimu na chenye gharama kubwa kidogo ila sijui inapatikana kwa kiasi gani.

Kuna vifaa vingine kama Mixer, Computer za uhakika na zenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda mrefu, umeme wa kutosha, wafanyakazi pamoja na mishahara yao, microphone ambazo ni za kisasa ili kutoa sauti nzuri.

Niseme tu ukiwa na mtaji wa 500_600 M unaweza fanya kitu cha kushangaza katika mwanzo wako.

Kila la kheri.
 
Wadau naomba mnisaidie mchakato wa kufungua commercial FM Radio. Na hasa gharama ZAKE upande wa Kodi na mchakato mzima. Na pia mnisaidie kama ni lazima nijenge mnara wangu je hakuna wa kukodi?
Mzee usinisahau katika ajira mkuu maana ndio kimbilio letu uko
 
. Transmission Equipment

Name of the equipment Brief function.

Transmitter; Takes your broadcast message from J your studio room, encodes it as sine waves and transmits it as radio waves.

Receiver: The receiver receives the broadcast message and decodes the radio sine waves (simply put, a radio set).

Antenna: For sending radio signals. Required one each for transmission and receiving of radio waves.

Transmission lines: Used to transfer radio signals from one location to another. (say from the studio to the location of transmitter)

Audio Processor: Used to improve and optimize the quality of sound to be broadcast.

These days this function is undertaken by inexpensive software programs.

Connectors: For connecting various equipments to each other.

Interface panel remote controlInterface panel is used to input broadcast data into transmitter (Basically an interface between studio and transmission site).

Remote control: is required to be able to feed those data from far off (say from your studio)CableFor connecting equipments located at a distance from each other.

Equipment Rack: For holding all equipments in a stable, secure and logical manner.

Power Protection: equipmentsTo supply power and protect the equipments from unwanted power fluctuations.

UPS: For uninterrupted power supply.



2. Production & Studio Equipment

Name of the equipmentBrief function

Microphone: For converting the sound waves into electrical energy.

Silent Microphone boom arms: For holding and moving the microphone across.

CD players:playing the music

Mixer; Allows the jockey to control various aspects of radio broadcast Amplifiers Low power signals to high power signalsMonitor Speakers.

To monitor the quality of broadcastSpeaker MountsTo hold speakersComputer automation software.

They are used for wide variety of purposes and have replaced several functions previously managed by costly

equipmentsRack MountHolds all the equipmentsPower Protection UnitsTo supply power and protect the equipments from unwanted power fluctuations.
 
Wadau naomba mnisaidie mchakato wa kufungua commercial FM Radio. Na hasa gharama ZAKE upande wa Kodi na mchakato mzima. Na pia mnisaidie kama ni lazima nijenge mnara wangu je hakuna wa kukodi?
Nitafute PM nikupe breakdown na profoma invoice ya vifaa.
Ukitaka kununua vifaa mwenyewe utanilipa consultancy fees
 
Wakuu niaje nataka tu ufafanuzi wa njia za kupitia TCRA kuanzisha kituo cha Radio mkoani.

1: Jinsi ya kupata vifaa na garama zake..
2: jinsi ya kupata leseni na garama zake .

3 muda nitakaochukua kupata hivyo vitu ana actual cost kwa ujumla...

Misaada wa haraka tafadhali
 
Back
Top Bottom