Naombeni msaada wa kujua Technical requirement na vifaa Vyote vinavyoitajika nikiwa Nataka kufungua kituo cha Radio FM.

Kitia

JF-Expert Member
Dec 2, 2006
418
74
Napenda kuwauliza Wakuu, yeyote aliye na habari ni wapi naweza kupata mitambo ya Radio ya FM. Ni vitu gani amabavyo vinajumuisha ili mtambo ukamilike na kuweza kurusha matangazo kwa eneo kama la mkoa wa Kilimanjaro, kwa mfano?

Natanguliza shukrani.
 
Kama hutojali, taja bajeti yako kwanza au basi eleza kama ni mkoa wa Kilimanjaro mzima unataka kuu-cover, pia napenda kuuliza kama ulishapata licence kutoka tcra ya kubroadcast FM katika mkoa wote au sehemu ya mkoa.... (samahani kwa kuanza na maswali haya)

SteveD.
 
Kitia, nimecheck check nakuona links kadhaa, naomba uzitazame kama zinaweza kukusaidia.

Nikitumaini kuwa siyo pirate radio station inayoanzishwa; yafuatayo ni mambo basic nijuayo yanahitajika ili kurusha matangazo katika FM:

--licence ya biashara (kama unapata income kwa ads)
--licence ya bandwidth (kutoka tcra ili wakupe spectrum/frequency)
--microphone nzuri (at least mbili kuanzia)
--sound mixing console (mixer)
--transmitter antenna na amplifier yake
--sound system (computer or standalone systems - to source sound)
--phone-in line system (preferable)
--
--
--mengineyo kuongeza ufanisi ..... na...
--(wasikilizaji walengwa !! :) )


links: --http://www.broadcastwarehouse.com/fm-transmission/6/cat (wako aghali kidogo hawa)

--http://www.aareff.com/24werpfmtransmittersystem.htm (hawa wako nafuu kidogo)

--http://members.tripod.com/~transmitters/links.htm (hawa wanatoa karibu links zote za wasambazaji wa transmitters)

Baadae, goodluck.

SteveD.
 
Kama hutojali, taja bajeti yako kwanza au basi eleza kama ni mkoa wa Kilimanjaro mzima unataka kuu-cover, pia napenda kuuliza kama ulishapata licence kutoka tcra ya kubroadcast FM katika mkoa wote au sehemu ya mkoa.... (samahani kwa kuanza na maswali haya)

SteveD.

Asante sana SteveD. Sina bajeti ila itakuwa ni low cost, eg mradi wa jamii etc etc. Sijapata licence kutoka kokote, ndio na beep hivyo, nipo katika stage ya kufikiria kuanzisha tu.
 
Kitia, nimecheck check nakuona links kadhaa, naomba uzitazame kama zinaweza kukusaidia.

Nikitumaini kuwa siyo pirate radio station inayoanzishwa; yafuatayo ni mambo basic nijuayo yanahitajika ili kurusha matangazo katika FM:

--licence ya biashara (kama unapata income kwa ads)
--licence ya bandwidth (kutoka tcra ili wakupe spectrum/frequency)
--microphone nzuri (at least mbili kuanzia)
--sound mixing console (mixer)
--transmitter antenna na amplifier yake
--sound system (computer or standalone systems - to source sound)
--phone-in line system (preferable)
--
--
--mengineyo kuongeza ufanisi ..... na...
--(wasikilizaji walengwa !! :) )


links: --http://www.broadcastwarehouse.com/fm-transmission/6/cat (wako aghali kidogo hawa)

--http://www.aareff.com/24werpfmtransmittersystem.htm (hawa wako nafuu kidogo)

--http://members.tripod.com/~transmitters/links.htm (hawa wanatoa karibu links zote za wasambazaji wa transmitters)

Baadae, goodluck.

SteveD.
Asante sana. Nipo katika stage ya kuwazia mradi huu, sina bajeti bado na nilikuwa sijui ni vifaa gani vya kutafuta na wapi pa kuombea kibali. Mashukuru sana.
 
Salaam wakuu. nna mpango wa kufungua kituo kidogo cha redio (regional) cha FM chenye uwezo wa kurusha matangazo ndani ya mkoa mmoja.

Sina uzoefu wowote na mambo ya transmission ila nna kamtaji kidogo nadhani katasaidia wananchi wa mkoa mmojawapo ulio chini kabisa hapa bongo. Naomba ufafanuzi wa ndani kuhusu mahitaji ya mitambo inayohitajika, makadirio ya bei na sehemu inakopatikana kwa urahisi.

Nahitaji mitambo rilayabo isiyosumbua, nataka nijaribu kuona toto kosti mpaka kituo kuanza kazi itagharim bei gani.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wowote utakaotolewa.
 
Dah mkuu ungelocate kwanza mkoa unao taka kufungua then wadau watakusaidia kutokana na mkoa husika maana kwa Dar utaambiwa FM imejaa nenda Lindi au Kagera.
 
Dah mkuu ungelocate kwanza mkoa unao taka kufungua then wadau watakusaidia kutokana na mkoa husika maana kwa Dar utaambiwa FM imejaa nenda Lindi au Kagera.

Mtaalam, huwa FM zinajaa?? Mbona naona Dsm radio za FM zinaongezeka kila siku??? Kama kuna mtaalamu wa mambo ya transimision, hebu tutoe kwenye giza!!
 
Dah mkuu ungelocate kwanza mkoa unao taka kufungua then wadau watakusaidia kutokana na mkoa husika maana kwa Dar utaambiwa FM imejaa nenda Lindi au Kagera.


asante mkubwa, shida yangu si kufungua Dar, ni mkoani kabisa, kuna watu wameniomba mkoani kwao kuna radio moja tu tena ya kidini! hakuna RFA, hakuna CLOUDS hakuna RADIO ONE hakuna TIMES, hakuna KISS hakuna EARadio, hata TBC inakamata milimani tu! SHIDA YANGU NI GHARAMA HALISI ZA HARDWARE (MITAMBO). KITUO KIDOGO TU, CHA KWAIDA SANA CHENYE UWEZO WA KURUSHA NDANI YA MKOA.
 
Mind you, biashara ya Radio inaweza kuwa ngumu kwako - kama ni kweli unamaanisha una mtaji mdogo. Au niulize, huo mtaji mdogo unamaanisha ni kiasi gani?

Naelewa mtaji mdogo kwako unaweza kuwa mkubwa kwa wengi wetu - and the opposite is also true.
 
Amoeba usiwe na wasi2 nitakupa msaada wote maana mimi nina mradi kama huo.Nafurahi sana watanzania wanapochangamka.Hebu ni PM nikupe all details.
 
Habari wakuu,
JF ikiwa ni sehemu yenye mchanganyiko wa watu toka profession tofauti ni vizuri wajuvi wakatueleza kuhusu gharama za uanzishaji wa FM radio, aina au nguvu tofauti ya vituo vya radio, nini wahitaji kabla hujafungua kituo, gharama za uendeshaji, na namna ya kutengeneza mapato katika mazingira ya Tanzania (usiseme nenda ka google, nataka kwa mazingira yetu).
Yamkini kuna mwana JF atahitaji kutambua vitu hivi siku moja.
 
Habari zenu wandugu!

Kwanza kabisa mimi ni mpya kwenye hii forum na hii ndo post yangu ya kwanza. Ningependa kufahamu ni kiasi gani cha pesa unahitaji katika kuanzisha kituo cha redio? Hapa namaanisha fees za kulipa idara ya mawasiliano na gharama nyingine kutoa gharama za vifaa vya studio.

Asanteni sana.
 
nimekugongea like ya kwanza .... unfortunately i have no clue though i have posted a reply to encourage you and wish you lucnk
 
Usijali hapa ndio Jf kila kitu utakipata,ngoja tuwaachie wanaojua watakujuza mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom