Aisee! Sina modem Na nimeshauza simuina internal modem?
Laptop nyingi zenye SIM slot huwa zinatolewa modem kwa ndani hasa kama ni ya mtumba.
Tumia modem ya nje kupata mtandao au WiFi
Usipoteze muda na hiyo slot ya kuwekea line
Hivi kwanini huwa wanazichomoa hizo componeñt?ina internal modem?
Laptop nyingi zenye SIM slot huwa zinatolewa modem kwa ndani hasa kama ni ya mtumba.
Tumia modem ya nje kupata mtandao au WiFi
Usipoteze muda na hiyo slot ya kuwekea line
Hivi kwanini huwa wanazichomoa hizo componeñt?
Hivi kwanini huwa wanazichomoa hizo componeñt?
Wanachomoa wauze baadaeHivi kwanini huwa wanazichomoa hizo componeñt?
Modem unapata used buku 10 au 15 mzee. Mm nna router ya wifi ya voda nauza buku 20 tuAisee! Sina modem Na nimeshauza simu
Hata za 4G zipo mzee
Yeah zipoInternal modem ya 4G???
Upo wapi?!Modem unapata used buku 10 au 15 mzee. Mm nna router ya wifi ya voda nauza buku 20 tu
Mm nakaa kibamba boss. Ila mara nyingi nakua nipo maeneo ya ubungoUpo wapi?!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us