Msaada JF dokta

Chimunu

Senior Member
Mar 4, 2013
159
25
Nimekuwa nikisumbuliwa na kucheza jicho la kulia juu mara kwa mara na nikiulizia naambiwa kiimani ina ashiria jambo je ni jambo lipi linaloweza nipata kutokana na hali niliyoieleza hapo juu mwombeni msaaada wenu memba
 
Nimekuwa nikisumbuliwa na kucheza jicho la kulia juu mara kwa mara na nikiulizia naambiwa kiimani ina ashiria jambo je ni jambo lipi linaloweza nipata kutokana na hali niliyoieleza hapo juu mwombeni msaaada wenu memba
Jicho la kulia kucheza sio maradhi na kiiamani ina ashiria wewe utasikia au kupatwa na habari ya msiba au kitu cha kukuhuzunisha katika maisha yako.
 
Nimekuwa nikisumbuliwa na kucheza jicho la kulia juu mara kwa mara na nikiulizia naambiwa kiimani ina ashiria jambo je ni jambo lipi linaloweza nipata kutokana na hali niliyoieleza hapo juu mwombeni msaaada wenu memba
Usiwe na hofu kabisa kiimani haitokei maranyingi kiasi hicho... Hiyo kitu ina mahusiano na muscle twitching na kuna visababishi anuwai pata ushauri wa daktari bingwa wa mishipa
 
Usiwe na hofu kabisa kiimani haitokei maranyingi kiasi hicho... Hiyo kitu ina mahusiano na muscle twitching na kuna visababishi anuwai pata ushauri wa daktari bingwa wa mishipa
Asanteni kwa majibu yenu wana jf
 
Back
Top Bottom