Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 1,611
- 2,598
Kwa mujibu wa kumbukumbu zangu Simba ina wachezaji 11 wa Kigeni baada ya ingizo la Chikwende, Je watalazimika kupunguza mmoja? Au wameshapunguza?
- Wawa
- Onyango
- Chama
- Bwalya
- Luis
- Kahata
- Kagere
- Mugalu
- Morrison
- Lwanga
- Chikwende