Chriskisamo
Senior Member
- Dec 21, 2011
- 166
- 38
mkuu BoT inakufaa zaidi ina huduma nzuri sana.
mkuu BoT inakufaa zaidi ina huduma nzuri sana.
Ila ipo kifisadi zaidi, kama vp jiunge bana.
Mkuu kwa ajili ya biashara kama ni SME, basi fungua akaunti kwenye hizi bank ambazo si kubwa. Kwa mfano Access, DTB, Equity au hata Azania. Haya mabenk makubwa kama CRDB mara nyingi yanakuwa siyo individual customer oriented, wana deposits nyingi mno kiasi kwamba ukiwa na kibalance chako kidogo let say 100m unakuwa ni kapuku tu. Lakini kwa hizo bank nyingine unaweza hata kunegotiate FDR.Biashara yangu sio ya kifisadi
Habari zenu wana JF. Mimi ni mfanyabiashara. Nina kampuni yangu ambayo nimeianzisha hivi karibuni ambayo ninataka kuifungulia account yake. Ninaomba msaada wenu kwa yeyote mwenye ufahamu wa kutosha kuhusu mambo ya mabenki aweze kunishauri benki nzuri inayofaa kwa kufungua account ya biashara au kampuni. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa yeyote ambaye atajitokeza kunisaidia katika hili. Asante