Emmathias
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 678
- 947
Habarini ndugu,
Tumefiwa na ndugu yetu ambaye alienda Dar -es -Salaam kwenye harakati za kimaisha, usiku wa kuamkia leo aliugua ghafla na kupelekea mauti yake.
Sisi ndugu tupo Mwanza tunajadili namna ya kuweza kusafirisha kwa bei nafuu. Naomba msaada kama kuna mtu anajua kampuni ya magari inayosafirisha maiti kuja Mwwnza anijuze.
Nitashukru sana kwa msaada wenu.
Tumefiwa na ndugu yetu ambaye alienda Dar -es -Salaam kwenye harakati za kimaisha, usiku wa kuamkia leo aliugua ghafla na kupelekea mauti yake.
Sisi ndugu tupo Mwanza tunajadili namna ya kuweza kusafirisha kwa bei nafuu. Naomba msaada kama kuna mtu anajua kampuni ya magari inayosafirisha maiti kuja Mwwnza anijuze.
Nitashukru sana kwa msaada wenu.