Msaada Jamani!!!!!!

mudushi

Senior Member
Oct 19, 2010
151
84
Jamani nahitaji msaada wa matibabu ya kifafa haraka. Kuna watu wananiambia kuwa tiba sahihi ya kifafa ni kwa kutumia mitishamba na si kutumia dawa za hospitalini. Sasa nimeshindwa kufanya maamuzi ya kuanza matibabu. Mwenye ukweli atoe msaada jamani. Nataka jumatatu trh 17 Oct 2011 nianze tiba.
Asanteni
 
Tunaomba umri wako, je unahistoria ya kifafa kwenye familia yenu, kimeanza ukiwa na umri gani, wakati wa kuzaliwa ulikuwa na tatizo lolote nikijua haya nitakwambia nini cha kufanya. kifafa kinasababishwa na vitu vingi sana
 
ninavyosikia kifafa ni Jini na hospitali hakuna dawa hilo sio tatizo dogo ila usiende kwa waganga msogelee mungu kwa ukaribu sana nyenyekea kweli tatizo hilo litayeyuka hata bila ya wewe kujua mpenda anaweza yote
na yote yawezekana katika yeye ukiamini
 
Kifafa kina sababu nyingi sana. Nenda hospitali watambue sababu ya kifafa chako. Ila kwa mwanzo wanaweza kukuandikia phenobarbital kupunguza seizure (kule kukauka kwenyewe). Ni hatari sana sababu ukishikwa wakati uko peke yako unaweza kuanguka vibaya ukaangukia na kukata mshipa wa damu, au ukaangukia moto, umeme etc.
 
Jamani nahitaji msaada wa matibabu ya kifafa haraka. Kuna watu wananiambia kuwa tiba sahihi ya kifafa ni kwa kutumia mitishamba na si kutumia dawa za hospitalini. Sasa nimeshindwa kufanya maamuzi ya kuanza matibabu. Mwenye ukweli atoe msaada jamani. Nataka jumatatu trh 17 Oct 2011 nianze tiba.
Asanteni
nenda hospitali, mitishamba haitakusaidia. na kifafa sio jini. kha!
 
Back
Top Bottom