Depretty
JF-Expert Member
- Jun 14, 2013
- 248
- 96
habari...sio mara ya kwanza kupost humu jukwaani... nimehitimu kidato cha 4 mwaka 2011 kipindi hicho wazo langu lilikua kusomea kozi ya utangazaji wa radio na tv yaan kua Mwandishi wa habari ni kitu ambacho nilikipenda sana lakini baadae matokeo yalivyotoka na kutokana na kua na kipindi kile kigumu cha matokeo yaan huwa mtu unapokea ushauri wa watu bila at kujua nini mimi nataka..nikaenda kusomea kozi nyingine kabisa tofauti na kile nilichokua na kiwekea dreaming katika future yangu nasiku zimepita mengi yametokea..now natamani nirudi shule tena nirudi kusomea kile nilichokua napenda kutoka moyoni naimani sijachelewa....
nachotaka kutoka kwenu mnisaidie kunijuza ni chuo kipi kinatoa mafunzo ya uandishi wa habari na utangazaji kwa hapa dar es salaam au Songea,pamoja na ada ili niweze kujiwekea akiba na niweze kujilipia ada mwenyewe...kwan hapo nyuma nilikua nalipiwa lakin kwa sasa mambo yamebdlika watu wanafamilia zao hivyo yapaswa nihangaike mwenyewe..ili nijisomeshe...
..msaada wa mawazo yenu tafadhal naimani ntafikia lengo langu..matokeo yngu nilipata d4..yaan civics, English, Swahili, geography...
Kama ntapata wa kunifadhili ntashukuru pia
shukran
nachotaka kutoka kwenu mnisaidie kunijuza ni chuo kipi kinatoa mafunzo ya uandishi wa habari na utangazaji kwa hapa dar es salaam au Songea,pamoja na ada ili niweze kujiwekea akiba na niweze kujilipia ada mwenyewe...kwan hapo nyuma nilikua nalipiwa lakin kwa sasa mambo yamebdlika watu wanafamilia zao hivyo yapaswa nihangaike mwenyewe..ili nijisomeshe...
..msaada wa mawazo yenu tafadhal naimani ntafikia lengo langu..matokeo yngu nilipata d4..yaan civics, English, Swahili, geography...
Kama ntapata wa kunifadhili ntashukuru pia
shukran