Habari wanajamvi!
Nahitaji anuani ya Ofisi ya Posta Dar. Maana kuna mtu anataka kuniagizia mzigo(from TZ to USA) ila kadai kuwa hajuwi ofisi hiyo ilipo!shukurani mbele
Inategemea wewe umefungulia SLP lako wapi; Oysterbay/ Ubungo/ Kisutu etc;
Quote SLP, Jina la Mtaa, Eneo, Jiji, Nchi .....e.g. P.O. Box 21122, Sokoine Rd, Oysterbay, Dar Es Salaam, Tanzania
Mkuu Dena nadhani hujanielewa vizuri. sitafuti anuani ya posta(P.O. Box) bali ni Ofisi ya Posta(Postal Office) iliyoko maeneo au karibu na Kimara. Kwani Posta Hawanaga maofisi? Thanx in advance!Mkuu hili swali kama sijalielewa vile??
Anuani ya Posta?? What do you mean?? Maana navyojua mimi kuna process kibao ya kupanda sanduku la posta
Sasa wewe unataka anuani ya posta bila kuwa na sanduku lako au??
Sidhani kama kuna kitu kama hicho.
Ushauri:
Tafuta ndugu yako yoyote mwenye sanduku la posta anayelipia kwa mwaka kama 12,000Tshs hivi kama sijakosea utumie
Jackson Mapunda
C/O Michael Mrema
S.L.P. 76..........
DAR ES SALAAM
Hapo na hakika utapata mzigo wako kuliko kuhangaika nakutumia SLP ya posta BTW: Sijawahi kuona kitu kama hiki tangu nikue
Mkuu Dena nadhani hujanielewa vizuri. sitafuti anuani ya posta(P.O. Box) bali ni Ofisi ya Posta(Postal Office) iliyoko maeneo au karibu na Kimara. Kwani Posta Hawanaga maofisi? Thanx in advance!
Habari wanajamvi!
Nahitaji anuani ya Ofisi ya Posta Dar. Maana kuna mtu anataka kuniagizia mzigo(from TZ to USA) ila kadai kuwa hajuwi ofisi hiyo ilipo!shukurani mbele