Tumsifu Yesu Kristo, nawaomba mniombee jamani nipate kazi wakati wa kusali na kuomba kwenu, nimemaliza shahada ya maendeleo ya jamii mwaka 2010, hadi leo sijapata kazi. ninapigana kwa hali yote lakini namini Bwana Wetu Yesu Kristo atatenda maajabu juu yangu na familia yangu, kupitia maombi yenu jamani. nipo tayari kufanya kazi yeyote.
Neema ya Bwana Wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
Neema ya Bwana Wetu Yesu Kristo iwe nanyi.