Msaada jamani tumetekwa kasulu

Mu-sir

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
3,621
1,629
Habari wanaJF naomba msaada wa haraka kutoa taarifa kwa wahusika wa jeshi la polisi kwani kuna basi limetekwa mbele yetu zaidi ya nusu saa na hakuna polisi wala nini tuko kijiji cha makere wilaya ya kasulu tunasafiri kwenda Dar.
 
vipi ukijaribu kupiga emergency number nadhani ni 112....mlioko Kigoma msaada jamani
 
Dah! ningeweza kupiga sm kwa RPC wa kigoma sasa hv, lakini habari za kwenye mtandao-tena kutoka kwa memba mgeni! unaweza kujikuta unajishushia heshima buree! Nyie mmepiga simu polisi? Hilo basi la mbele yenu limetekwa mmeshindwa kugeuza kwenda kutafuta msaada? Pia kwa kawaida mabasi huwa hayapiti maeneo hayo bila escort ya polisi-imekuwaje basi lenu na la mbele yenu yanatembea maeneo ya hatari bila askari? Inawezekana ni kweli mmetekwa-lakini memba wa sku hz hm jf wanatutia mashaka! Im sorry!
2803078 (kigoma)-twanga
 
CCM hao wanaacha kulinda wananchi wao wanadeal na CDM tu, kaazi kweli kweli, ila wa karibu msaada muhimu
 
Corrections tumefika wilaya ya kibondo na si kasulu imebidi basi letu(SUMRY) lirudi nyuma vijiji viwili kwani milio ya risasi inatisha sana.
 
pole ndugu yangu.....angalia namba za cm hapo wamekupeni.... Piga haraka maana hiyo mijamaa inakuwaga na siraha za kisasa.
 
Okay, niko huku Asia lakini nimejitahidi kumpata jamaa mmoja yuko Moro, anapiga simu saizi! Jitahidi kuwa makini
 
Kumbe siyo lenu limetekwa!! Dah taarifa zingine bwana! anyway, jitahidi upige mwenyewe mkuu ili kutoa taarifa sahihi
 
Police wetu wako makini na kulinda kurana kupiga mabomu raia wakati mambo yamsingi wanayaacha!
Njia kama iyo ilibidi iwe na patrol I guess tunakatwa kodi kwa ajili iyo jamani
Poleni jamani ila kuweni makini alafu nitajie namba ya basi ili nimpe info SUMRI mwenyewe
 
Mu-sir namba hizo hapo juu umepewa. piga tafadhali.
kama simu haina vocha weka namba yako au ni"PM nikupunguzie atleast 500.
 
Mu-sir namba hizo hapo juu umepewa. piga tafadhali.
kama simu haina vocha weka namba yako au ni"PM nikupunguzie atleast 500.

Naona huyu bwana Musa atakuwa ameshasolve hiyo prblm....kama bado basi siku nyingine ajitahidi kuwa serious....watu tumepata wasiwasi lakini naona hajali hiyo....next tym mtu mwingine akiwa na shida watu watashindwa kusaidia
 
Tumia Namba hii kwa SMS tu na ataipata KOVA then itasaidia, pls ni sms tu..0783 034 224

Be blessed
 
Ndugu Mu-Sir.....vipi maendeleo?

ahsanteni wana JF kwa msaada wenu tulipata response ya police kutoka kibondo mjini but it was too late majambazi walikuwa 8 na silaha nzito kati yao mtz 1 na escort walikuwa 2 with SMG.they have killed 1 guy na wameondoka pesa na silaha za polisi baada ya polisi hao kuzitupa.Nitatoa taarifa nzuri with pictures kwa sasa simu imeishiwa charge.
 
Basi lililotekwa ni mali ya Golden inter city na lilikuwa likienda mwanza
 
Naona huyu bwana Musa atakuwa ameshasolve hiyo prblm....kama bado basi siku nyingine ajitahidi kuwa serious....watu tumepata wasiwasi lakini naona hajali hiyo....next tym mtu mwingine akiwa na shida watu watashindwa kusaidia

Anaharibia watu wengine ambao watakuwa na shida serious.
 
Back
Top Bottom