Kipeperushi
Senior Member
- Aug 17, 2011
- 167
- 33
Habari wakuu wangu katika jamvi hili. Poleni kwa usumbufu ninaowapeni mara kwa mara, tatizo langu kubwa ni ugeni katika teknolojia hii ya kompyuta. Shida yangu ni kujifunza toka kwenu; kama kuna mtu anajua program mahsusi kwa ajili ya technical drawing ambayo archtectures huwa wanatuiaga katika kubuni michoro ya majengo, naomba anipe darasa. Nafurahi sana kutokana na msaada ninaoupata hapa jamvini, hivyo pamoja na kuwaombeni kwamba msinichoke napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wowote nitakao upata katika jambo hili. Nawatakia kazi njema. Asanteni.