Msaada jamani. Nakosa raha na hii Laptop aina ya Lenovo Thinkpad T420 (Core i5)

Tanki

JF-Expert Member
Apr 7, 2013
491
189
Habari zenu ndugu zangu. Naomba niende direct kwenye mada. Ila kwanza nimeweka picha hapo za kuonyesha specification za hii laptop yangu ya LENOVO THINKPAD T420 (Core i5)

Historia fupi, hii laptop ilikuwa ikitumika ofisini kwetu kwa muda wa miaka kadhaa. Ilikuwa ni kwa shughuli za kiofisi tu.

Now zimeletwa laptop mpya, So hii nikaichukua mimi kwa ajili ya shughuli zangu binafsi. Hivyo ikabidi ifutwe kila kitu kilichokuwa ndani na Hard disk ikatolewa ile iliyokuwepo na kuwekwa mpya ya Toshiba 320 GB.

Ikaenda kuwekwa Window 7. Then nikaanza kuitumia kwa matumizi yangu binafsi.

Mimi ni mpenzi sana wa Games. So nikadownload emulator kadhaa za kuniwezesha nicheze mobile games kwenye laptop. Tatizo likawa nikicheza game inastuck. Nikapewa notification kwamba ni-enable Vissualization na ni-update graphic hard driver.

Hiyo Vissualization ipo kwenye BIOS ya pc nikaenda nikainable. Sasa nashindwa jinsi ya ku-update hiyo graphic hard driver. Naomba muongozo wa msaada kwenye hili.

Jana nikadownload pc game ya Asphalt Airbone. Nikiplay inacheza ila nayo inastack stack kidogo. Yaani hapo kama inavyotakiwa.

Nikadownload na Euro truck simulator 2. Yaani hili game nalipenda mno. Hii niliyoidownload mimi ni ya mwaka 2016 kama sikosei. Link iliwekwa humu na mkuu kcamp. Game lipo installed ila naona kwenye screen ya PC yapo mawili. moja lina (64x) euro truck simulator na lingine limeandikwa (32x euro truck simulator 2. Nikifungua ili nicheze HALIFUNGUKI kabisa.

Inafanya kama inataka kufunguka halafu haifunguki. Picha za hiki ninachokisema angalia hapo juu hiyo picha ya mwishonadhani unaona euro yapo mawili.

Then, ninachoshangaa sasa, nikiangalia space inaonyesha This PC 290 GB used, 7.95 free (available space). Sijadownload vitu zaidi ya hivyo nilivyovisema ila storage ndo inaniambia hivyo.

Wakuu, naomba msaada kwenye haya yote. Hii Euro truck simulator 2 ndo kabisa inaninyong'onyesha.

Screenshot_20200208-073118.jpeg
Screenshot_20200208-073146.jpeg
IMG_20200212_201104.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua eGPU
Maelezo zaidi kuhusu eGPU google
Nimeona hizo model T420 zina support eGPU

unnamed.jpg
 
Kwanza kabisa hata resolution yako inaonekana ipo chini hapo

Ku update drivers,make sure uko connected kweny internet How to upgrade your graphics drivers in Windows « Algodoo

Kisha ukifanikiwa ku update drivers nenda kaongeze resolution yako utaweka ya juu kabisaa


Kuhusu euro truck mkuu saiz tupo 1.36 ni latest..pitia uzi wa eurotruck utapata link ya 1.36 Road to the blacksea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa hata resolution yako inaonekana ipo chini hapo

Ku update drivers,make sure uko connected kweny internet How to upgrade your graphics drivers in Windows « Algodoo

Kisha ukifanikiwa ku update drivers nenda kaongeze resolution yako utaweka ya juu kabisaa


Kuhusu euro truck mkuu saiz tupo 1.36 ni latest..pitia uzi wa eurotruck utapata link ya 1.36 Road to the blacksea

Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuu, ila hili nililolidownload uliliwekaga wewe. Yes ni la muda sana ila je haliwezi ku-play???. Then je nikiupdate driver na kuchange resolution itaplay??. Maana hii game mkuu itanitoa roho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Look here! Software upgrade lazima ziendane na hardware! Resolution nzuri ya picha inatokana na VGA adaptor (hardware). Na hata kama utanunua hiyo VGA uenda haitafanyakazi vizuri kwasababu speed yake lazima iendane na Motherboard. Games za siku hizi zinafanya kazi vizuri katika 128bit hardware compatible. Japo 64bit inaweza lakini si katika uzuri wa speed na quality. Ndo maana technolojia ikibadilika Ulaya wanaphase out gadgets zote na kutuletea third world countries zifilie huku kwa ajili ya kutunza mazingira ya kwao.

Solution ni nini:

Kama unataka high speed and high quality picture za Games unahitaji PC yenye Resolution (VGA adaptor) kubwa inayoendana na memory (RAM) kubwa inayoendana na Processors speed kubwa. Hivyo vyote vitakuchukua unununue PC nyingine. Hiyo waachie watu wa stationeries watypie na kuprint kazi za wateja au wape chekechea.

Nikwambie kitu:

Niliwahi kuajiriwa kwenye hii industry ya ICT mpaka level ya ICT Manger nikaamua kuacha kazi kwasababu mabosi wao wanataka vitu vizuri bila kuupgrade miundombinu ya ICT kama computers na software zake switches na routers na pia kuwapa training IT personnel kucopup na rapid changing technology nikawa kila mara nagombana na manegement nikaamua kuacha kazi nikajiajiri now karibu miaka 7 napiga hela bila stress za ajira. That is my testimony
 
Kwa muonekano wa desktop yako hata ukiweka project IGP(one of the lowest resolution game ever). halitacheza

So unaweza update graphic card au driver update ikiwemo VGA yako iyo

Ilaa ilo li laptop lako ni la zamani ivo usitegemee likupe mambo makubwa sana
Lina uwezo mdogo
 
Tatizo la disk kujaa:
Nenda local disk C then cheki kama kuna folder limeandikwa "windows.old".
Kama lipo, lifute.

Tatizo la Graphics:
Nenda ktk device manager then open display driver then right click na scan for updates(i.e. uwe connected online)
Also angalia kama kuna driver yoyote ina alama ya kumiss then update kwa kutumia same process.
NB: alternative ni kutumia driverpack solution kupata drivers

Alternative solution kwa upande wa kusafisha HDD:
1: Cheki recycle bin na futa kila kitu
2: fanya disk fragmentation - ina improve performance
3: tumia command prompt
Nenda ktk cmd
Andika cleanmgr
Then click enter
Then next
Wait then select clean windows installation files
Ikimaliza check files zote except downloads
Then clean kwa kubonyeza enter


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wangu kama unapenda games na haupo tayari kuwekeza fungu kubwa kwenye kununua dedicated gaming systems, jibane tu ununue playstation 3 au panda ununue PS4.

Kutoa laki 8 au 7 na kununua laptop haimaanishi una haki ya kucheza games kama yule aliyetoa milioni 2 au 3 kumbuka price matter.

Kama unataka kutumia PC kwa ajili ya gaming inabidi ujipange kwelikweli vinginevyo ukubaliane na hali halisi inayokukosesha raha😆
 
Look here! Software upgrade lazima ziendane na hardware! Resolution nzuri ya picha inatokana na VGA adaptor (hardware). Na hata kama utanunua hiyo VGA uenda haitafanyakazi vizuri kwasababu speed yake lazima iendane na Motherboard. Games za siku hizi zinafanya kazi vizuri katika 128bit hardware compatible. Japo 64bit inaweza lakini si katika uzuri wa speed na quality. Ndo maana technolojia ikibadilika Ulaya wanaphase out gadgets zote na kutuletea third world countries zifilie huku kwa ajili ya kutunza mazingira ya kwao.

Solution ni nini:

Kama unataka high speed and high quality picture za Games unahitaji PC yenye Resolution (VGA adaptor) kubwa inayoendana na memory (RAM) kubwa inayoendana na Processors speed kubwa. Hivyo vyote vitakuchukua unununue PC nyingine. Hiyo waachie watu wa stationeries watypie na kuprint kazi za wateja au wape chekechea.

Nikwambie kitu:

Niliwahi kuajiriwa kwenye hii industry ya ICT mpaka level ya ICT Manger nikaamua kuacha kazi kwasababu mabosi wao wanataka vitu vizuri bila kuupgrade miundombinu ya ICT kama computers na software zake switches na routers na pia kuwapa training IT personnel kucopup na rapid changing technology nikawa kila mara nagombana na manegement nikaamua kuacha kazi nikajiajiri now karibu miaka 7 napiga hela bila stress za ajira. That is my testimony
mkuu, usawa unakaba. Ndio maaana nikataka muongozo juu ya hii pc niliyonayo sasa walau nipateEuro truck simulator 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu ndugu zangu. Naomba niende direct kwenye mada. Ila kwanza nimeweka picha hapo za kuonyesha specification za hii laptop yangu ya LENOVO THINKPAD T420 (Core i5)

Historia fupi, hii laptop ilikuwa ikitumika ofisini kwetu kwa muda wa miaka kadhaa. Ilikuwa ni kwa shughuli za kiofisi tu.

Now zimeletwa laptop mpya, So hii nikaichukua mimi kwa ajili ya shughuli zangu binafsi. Hivyo ikabidi ifutwe kila kitu kilichokuwa ndani na Hard disk ikatolewa ile iliyokuwepo na kuwekwa mpya ya Toshiba 320 GB.

Ikaenda kuwekwa Window 7. Then nikaanza kuitumia kwa matumizi yangu binafsi.

Mimi ni mpenzi sana wa Games. So nikadownload emulator kadhaa za kuniwezesha nicheze mobile games kwenye laptop. Tatizo likawa nikicheza game inastuck. Nikapewa notification kwamba ni-enable Vissualization na ni-update graphic hard driver.

Hiyo Vissualization ipo kwenye BIOS ya pc nikaenda nikainable. Sasa nashindwa jinsi ya ku-update hiyo graphic hard driver. Naomba muongozo wa msaada kwenye hili.

Jana nikadownload pc game ya Asphalt Airbone. Nikiplay inacheza ila nayo inastack stack kidogo. Yaani hapo kama inavyotakiwa.

Nikadownload na Euro truck simulator 2. Yaani hili game nalipenda mno. Hii niliyoidownload mimi ni ya mwaka 2016 kama sikosei. Link iliwekwa humu na mkuu kcamp. Game lipo installed ila naona kwenye screen ya PC yapo mawili. moja lina (64x) euro truck simulator na lingine limeandikwa (32x euro truck simulator 2. Nikifungua ili nicheze HALIFUNGUKI kabisa.

Inafanya kama inataka kufunguka halafu haifunguki. Picha za hiki ninachokisema angalia hapo juu hiyo picha ya mwishonadhani unaona euro yapo mawili.

Then, ninachoshangaa sasa, nikiangalia space inaonyesha This PC 290 GB used, 7.95 free (available space). Sijadownload vitu zaidi ya hivyo nilivyovisema ila storage ndo inaniambia hivyo.

Wakuu, naomba msaada kwenye haya yote. Hii Euro truck simulator 2 ndo kabisa inaninyong'onyesha.

View attachment 1355942View attachment 1355943View attachment 1355949

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hio windows mbona kama sio win 7 kama ulivyosema kwenye maelezo yako? Inaonekana kama ni win 10, je uliweka win 7 kisha ukaweka win 10 juu kwa juu? Kama ni ndio inawezw kuwa sababu ya wewe kuwa na storage ndogo sababu kutakuwa na folder linaitwa windows.old ambalo lina mafile yote ya zamani.

Kwenye drivers T420 ni 2nd gen hivyo download drivers zake toka official site ya intel hapa
Filter kutokana na version yako ya windows.
 
Mkuu hio windows mbona kama sio win 7 kama ulivyosema kwenye maelezo yako? Inaonekana kama ni win 10, je uliweka win 7 kisha ukaweka win 10 juu kwa juu? Kama ni ndio inawezw kuwa sababu ya wewe kuwa na storage ndogo sababu kutakuwa na folder linaitwa windows.old ambalo lina mafile yote ya zamani.

Kwenye drivers T420 ni 2nd gen hivyo download drivers zake toka official site ya intel hapa
Filter kutokana na version yako ya windows.
Mkuu kweli nilikosea. Ni window 10 pro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hio windows mbona kama sio win 7 kama ulivyosema kwenye maelezo yako? Inaonekana kama ni win 10, je uliweka win 7 kisha ukaweka win 10 juu kwa juu? Kama ni ndio inawezw kuwa sababu ya wewe kuwa na storage ndogo sababu kutakuwa na folder linaitwa windows.old ambalo lina mafile yote ya zamani.

Kwenye drivers T420 ni 2nd gen hivyo download drivers zake toka official site ya intel hapa
Filter kutokana na version yako ya windows.
na je mkuu hii pc itacheza hilo Euro truck simulator 2 ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hio windows mbona kama sio win 7 kama ulivyosema kwenye maelezo yako? Inaonekana kama ni win 10, je uliweka win 7 kisha ukaweka win 10 juu kwa juu? Kama ni ndio inawezw kuwa sababu ya wewe kuwa na storage ndogo sababu kutakuwa na folder linaitwa windows.old ambalo lina mafile yote ya zamani.

Kwenye drivers T420 ni 2nd gen hivyo download drivers zake toka official site ya intel hapa
Filter kutokana na version yako ya windows.
Arafu mkuu, nikishamaliza tu kudownload je ni kipi tena natakiwa kufanya tena. Hakuna cha kukiset?? Au nikishadownload tu ndo tayari???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom