msaada jamani-modem

OME123

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,498
605
[h=6]hello, help out please,nimenunua modem ya ttcl nimeshindwa namna ya kuongeza muda wa hewani nahitaji msaada tafadhali[/h]
 
hello, help out please,nimenunua modem ya ttcl nimeshindwa namna ya kuongeza muda wa hewani nahitaji msaada tafadhali

weka modem yako kwenye pc. Ikishamaliza kufanya installation, double click icon yake ifungue window ya modem! Utaona vi icon vingi chini, chagua kile kilichoandikwa VOICE CALL. Utaona keypad kwenye screen, tumia hiyo kuingiza 104*(pin ya voucha yako)# kisha click sehemu ya kupiga simu. Utakuwa umemaliza
 
installation lazma uandike user(modem #@ttclmobile) na password(final 6 digits za modem #)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom