Salaam kwenu wanajukwaa. Nimekua addicted na mchezo wa kubahatisha wa bonanza kiasi cha kuhatarisha uchumi wangu. Hii hutokana na kila ifikapo kuanzia saa 12:00 jioni sina cha kufanya kiasi cha kushawishika kujumuika wa Watu katika mchezo huu. Siwezi kukwepa kutokuwepo maeneo hayo maana mji ni mdogo. Msaada cha kufanya jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app