acanthocyte
Senior Member
- Nov 27, 2012
- 190
- 157
Heshima kwenu wanajamiiforum. Awali ya yote naomba nianze kwa kudeclare kuwa ni mara yangu ya kwanza kuweka bandiko humu. nimekua nikifuatilia mijadala kwa muda mrefu kama Guest na sio mwanachama hivyo nikaona heri nijiunge tu ili niweze kufaidi na kujifunza mambo mengi kupitia JF.
Mimi tatizo langu linalonisumbua mpaka najihisi vibaya ni kwamba, kila niwapo na Girl friend kunako 6x6 nafika mshindo mapema sana. Yaan nikienda to and fro kama mara kumi tu, au wakati mwingine nikizamisha tu mwiko wangu natoa wazungu.
NAOMBA MSAADA wakuu, tatizo ni nin? na nini chanzo cha hili tatizo? na nifanye nn ili niweze kuondokana karaha hii?
Asanten karibun kwa michango.
Mimi tatizo langu linalonisumbua mpaka najihisi vibaya ni kwamba, kila niwapo na Girl friend kunako 6x6 nafika mshindo mapema sana. Yaan nikienda to and fro kama mara kumi tu, au wakati mwingine nikizamisha tu mwiko wangu natoa wazungu.
NAOMBA MSAADA wakuu, tatizo ni nin? na nini chanzo cha hili tatizo? na nifanye nn ili niweze kuondokana karaha hii?
Asanten karibun kwa michango.