Msaada jaman kwa watalaam wa magari yamenikuta

wiseboy

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
2,931
3,299
Wakuu heshima mbele, nimenunua gar yangu aina ya nadia engine yake ni 3s nilikwepa kununua 4d baada ya kuambiwa zinasumbua.
TATIZO LAKE
hii gari haina muda mrefu toka niitoe bandarini just miez 2 tu, one day nilikuwa njian toka moro kwenda tanga, nilipovuka mizan ya chalinze gar ilikuwa speed 100 gafla ikaanza kushuka had zero speed yan nilipokuwa nakanyaga mafuta hai_sense....! Nikavutwa pale, wakat wananivuta nikaiwasha ikawaka, then kama kilometa 5 ikashuka spid had zero na kuzimika, nilipofika gereji wakaniambia eti fuel pump imekufa, wakabadili fuel pump na kuweka mpya...nikaondoka kama km 20 tatzo likajirudia, nikampigia jamaa gereji akawa anajikanyaga tu, anyway nikaipush kwenda mbele nikawasha ikawaka nikafika hom, imetulia kama wik bila kusumbua coz nilikuwa siendi safar za mbali, sasa leo nikatoka wilaya moja kwenda nyingne gafla tatzo likajirudia tena usukan ukawa mgumu na brake zikawa ngumu ukinyaga zipo ngangari! Nikapoz hapo kama dk 20 nikiwasha inamis kama haina mafuta hivi tho gauge ipo nusu na kwel nimeweka mafuta ya kutosha...ikapushiwa kdogo kwenda mbele ikawaka, sasa nilitaka kusafiri nayo toka morogoro kwenda mtwara, jaman c nitamezwa na simba njian kwa tatzo hili, nisaidieni ufumbuzi plz.
 
Ikizimikaga ukiiwasha haiwak yan kama vile haina mafuta, gar inang'aa yan had watu huwa wananishangaa unasikia mbona gari jipya afu zuuri kwa nn haiwaki...dah basi naumiaaa mwenzenu.
 
Mkuu mimi hali hiyo iliwahi nikuta lakini mie tatizo lilikua ni radiator kuvuja maji kila kitu kilikua kama ulivyoelezea..yaani engine inachemsha..sasa sijui hapo inakuaje..
 
Wakuu heshima mbele, nimenunua gar yangu aina ya nadia engine yake ni 3s nilikwepa kununua 4d baada ya kuambiwa zinasumbua.
TATIZO LAKE
hii gari haina muda mrefu toka niitoe bandarini just miez 2 tu, one day nilikuwa njian toka moro kwenda tanga, nilipovuka mizan ya chalinze gar ilikuwa speed 100 gafla ikaanza kushuka had zero speed yan nilipokuwa nakanyaga mafuta hai_sense....! Nikavutwa pale, wakat wananivuta nikaiwasha ikawaka, then kama kilometa 5 ikashuka spid had zero na kuzimika, nilipofika gereji wakaniambia eti fuel pump imekufa, wakabadili fuel pump na kuweka mpya...nikaondoka kama km 20 tatzo likajirudia, nikampigia jamaa gereji akawa anajikanyaga tu, anyway nikaipush kwenda mbele nikawasha ikawaka nikafika hom, imetulia kama wik bila kusumbua coz nilikuwa siendi safar za mbali, sasa leo nikatoka wilaya moja kwenda nyingne gafla tatzo likajirudia tena usukan ukawa mgumu na brake zikawa ngumu ukinyaga zipo ngangari! Nikapoz hapo kama dk 20 nikiwasha inamis kama haina mafuta hivi tho gauge ipo nusu na kwel nimeweka mafuta ya kutosha...ikapushiwa kdogo kwenda mbele ikawaka, sasa nilitaka kusafiri nayo toka morogoro kwenda mtwara, jaman c nitamezwa na simba njian kwa tatzo hili, nisaidieni ufumbuzi plz.

pole sana.Hapo angalia vitu viwili navyo ni plug na ignition coil kama ziko vizuri.Kama vitu hivyo viko poa je ulibadilisha lini oil ya gear box.Hawa mafundi usipokuwa makini watakuambia mambo mengi mara hiki mara kile ni bora uende kwenye gereji ya uhakika ambayo wanatumia computer kuchek engine kuliko ukawa unabuni
 
Fanya hivi mkuu,kwa jinsi unavoelezea tatizo la hilo gari asilimia kubwa lipo kwenye Electrical system!kwa nin nasema hivo,steering kuwa ngumu maana yake power steering haifanyi kazi,na pia brake kuwa ngumu maana yake brake system haifanyi kazi,sasa power steering na brake system haziingiliani kwa chochote zaidi ya umeme/electrical system ndo inaweza kuviunganisha hivo viwili na kusoma as tatizo,pia kuzima/kupungua speed kwa gari while unakanyaga mafuta might be oxygen sensor au MAF(Mass Air Flow) which again ni electrical dependent!
What to do now, usihangaike na mafundi mtaani,utapoteza hela nyingi bure wakat tatizo ni dogo tu,nenda kwa garage yeyote ambayo wana Car Diagnostic tool (preferably OBD 2) then waiscan gari yako na kukuambia haswaa nin tatizo!yaweza kuwa ECU (engine computer)ndo yenye tatizo and you will need to install new Software au buy a new/used one!upo dar?
 
Angalia fuel filter, then kama litaendelea check fuel pipe huwa mara nyingine zinakatika kwenye viungio! Pia check wiring as kama una park karibu na mahindi au nafaka basi panya huwa mafundi wa kuharibu. Pia check plugs kama mdau alivyosema hapo juu.
 
Mkuu hakuna ishara yoyote ile inayotokea kwenye dashbord
 
pole sana.Hapo angalia vitu viwili navyo ni plug na ignition coil kama ziko vizuri.Kama vitu hivyo viko poa je ulibadilisha lini oil ya gear box.Hawa mafundi usipokuwa makini watakuambia mambo mengi mara hiki mara kile ni bora uende kwenye gereji ya uhakika ambayo wanatumia computer kuchek engine kuliko ukawa unabuni
Service imefanyika one wik ilopita na nilisimamia mwenye we na nikivipima viko poa........
 
system ya mafuta na umeme vyahusika, hebu tujaribu kusaidiana.... kama upo dar julisha forum members, kuna fundi wa umeme ambaye twaweza kumtumia kucheki tatizo kama ni la umeme ( japo ni fundi wa chini ya mwembe)
Twaweza mtumia kwa zero price!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom