Msaada: Jamaa yangu yupo katika wakati mgumu

wisdom empire

JF-Expert Member
May 5, 2017
337
288
Habari zenu wapendwa.Naombeni msaada wa Mawazo ili namimi nimsaidie aliyepatwa na tatizo maana nimeshindwa namna ya kumsaudia.Jamaa ya yangu alipata mchumba na akaenda hadi kwa wazazi wa mwanamke kuchumbia na akatoa hadi salamu( 10000) kama ilivyo taratibu za baadhi ya makabila kabla ya mahali.wakiwa ktk mahusiano na mpenzi wake ilitokea wakatofautiana kwa vitu vidogo tu na kabla hawajayaweka sawa mambo yao jamaa akapata safari na hakurudi hadi miezi minne kupita ndo akarudi.kutokana na muda mrefu uliopita bila mawasiliano jamaa mapenz na mwanamke yakawa yamepotea kabisa na hakua na hata fikra ya kuja kuishi na yule mwanamke.aliporudi mwanamke akamtafuta jamaa kupitia ndugu zake na kudai anampenda bado jamaa na amekua akimsubiri kwa muda wote huo na wazazi wanafahamu ilo.jamaa anapata ugumu afanyaje kwani hana mapenzi tena na mwanamke.naombeni ushauri wenu huyu jamaa afanyaje....
 
Habari zenu wapendwa.Naombeni msaada wa Mawazo ili namimi nimsaidie aliyepatwa na tatizo maana nimeshindwa namna ya kumsaudia.Jamaa ya yangu alipata mchumba na akaenda hadi kwa wazazi wa mwanamke kuchumbia na akatoa hadi salamu( 10000) kama ilivyo taratibu za baadhi ya makabila kabla ya mahali.wakiwa ktk mahusiano na mpenzi wake ilitokea wakatofautiana kwa vitu vidogo tu na kabla hawajayaweka sawa mambo yao jamaa akapata safari na hakurudi hadi miezi minne kupita ndo akarudi.kutokana na muda mrefu uliopita bila mawasiliano jamaa mapenz na mwanamke yakawa yamepotea kabisa na hakua na hata fikra ya kuja kuishi na yule mwanamke.aliporudi mwanamke akamtafuta jamaa kupitia ndugu zake na kudai anampenda bado jamaa na amekua akimsubiri kwa muda wote huo na wazazi wanafahamu ilo.jamaa anapata ugumu afanyaje kwani hana mapenzi tena na mwanamke.naombeni ushauri wenu huyu jamaa afanyaje....
Wao ndo wenye uwezo wa kujenga/ kubomoa , maana ukiwashawishi huko mbeleni wataachana tu maana hapo mmoja wapo amekengeuka , hivyo waache wayamalize wenyewe.
 
Habari zenu wapendwa.Naombeni msaada wa Mawazo ili namimi nimsaidie aliyepatwa na tatizo maana nimeshindwa namna ya kumsaudia.Jamaa ya yangu alipata mchumba na akaenda hadi kwa wazazi wa mwanamke kuchumbia na akatoa hadi salamu( 10000) kama ilivyo taratibu za baadhi ya makabila kabla ya mahali.wakiwa ktk mahusiano na mpenzi wake ilitokea wakatofautiana kwa vitu vidogo tu na kabla hawajayaweka sawa mambo yao jamaa akapata safari na hakurudi hadi miezi minne kupita ndo akarudi.kutokana na muda mrefu uliopita bila mawasiliano jamaa mapenz na mwanamke yakawa yamepotea kabisa na hakua na hata fikra ya kuja kuishi na yule mwanamke.aliporudi mwanamke akamtafuta jamaa kupitia ndugu zake na kudai anampenda bado jamaa na amekua akimsubiri kwa muda wote huo na wazazi wanafahamu ilo.jamaa anapata ugumu afanyaje kwani hana mapenzi tena na mwanamke.naombeni ushauri wenu huyu jamaa afanyaje....

Kwa hiyo umejipa kazi ya kuwapatanisha sio??..umekosa cha kufanya Kabsaaaa?
 
Kwanza Hata hukusema kilichomfanya mwanaume aamue kubadili mawazo huko kijijini na kurudi mjini ni nini!!?!!

Pamoja na yote hayo bado maamuzi ni kwa wenyewe mwanamke na mwanaume ila sisi tunaweza tu kuwajenga kwa kuwapa experience ya ndoa.

Suala la upendo wa dhati,uvumilivu,kumcha MUNGU,kusikilizana,kushauriana, ni nguzo ktk mahusiano.
 
Chukua jembe ukalime kijana... Wao wakishapatana nenda kavune tu ulicholima.

Achana nao watarudiana wao....
 
Back
Top Bottom