Bonobo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 364
- 665
- Thread starter
- #21
Mitandao ya kijamii inawafanya watu wawe wehu. Umeshindwa kabisa kuwauliza ndugu na jamaa akiwemo mhusika ukaona mahali sahihi pa kupata mawazo hayo ni hapa mjengoni.
We unawajua ndugu na jamaa zangu kama wana huo uelewa?
Acha kutoa maneno kama umekula nzi.