rama willy
New Member
- Sep 29, 2015
- 3
- 1
mafuta ya mzaituni? yanatoa magaga?
Kipindi cha baridi watu wengi hupasuka miguu.wakuu mambo vp, naomba msaada kwa anayefahamu dawa ya kuzuia kupasuka kwa miguu ktk unyayo, na nipo kwenye barid irnga pia sifany shughuli inayofanya nikanyage maji. msaada plz.
glycerine ndo dawa na vaseline utapenda miguu yako!Habarini za mchana wapendwa naomba ushauri ngozi yangu ya miguuni inakakamaa sana nimeshajaribu kutumia baadhi ya lotions lakini naona tatizo liko palepale kwa sasa natumia Bio oil
Karibu oriflame pia tuna bidhaa nzuri pia za miguu zinazolainisha na kuondoa magaga piaHabarini za mchana wapendwa naomba ushauri ngozi yangu ya miguuni inakakamaa sana nimeshajaribu kutumia baadhi ya lotions lakini naona tatizo liko palepale kwa sasa natumia Bio oil
N me kwan vepe?
Yenyewe tuu yalikujauliyapata vp mkuu?
SawaKabla yakulala sugua miguu pakaa vaseline ya mgando ...wiki moja utaleta mrejesho