fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,724
- 2,627
Waliomaliza mkataba duuh si wapo kitaa mkuu?Nafasi jumla ni 3100 hazizidi 3200.
Vijana 1600 ndio walikuwa kwenye ujenzi pale Ikulu na shule ya mfano. Kuna wachache sana ambao ambao hawazidi 50 walikuwa ujenzi mirerani na wengine ambao walikua kwenye miradi mingine ambao sijui idadi yao.
Kuna nafasi kama 1000 hivi za gombania goli ambazo zitahusu waliopo vikosini na wale walio maliza mkataba. Hii inaitwa Fighting to the death, only the stronger to survive.
Utaratibu utakuwaje wao kuingia chomboni?