Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
cc Chief Mkwawa
Baada ya kumaliza second degreee nimeanzisha internet cafe ya pc 3.... Kaz hamna, nimejiajiri!!
mwanzon nilikuwa natumia TTCL sasa imefeli, cna namna! cpati msaada wa kiufundi! last time alikuja fundi akabadilisha modem... lakin wapi#
swali! hapa nilipo tigo inapatikana 3g, je naweza kuunganishwa kwa Broadband ili nifunge internet ya nguvu??? nusaidiene kuokoa biashara yangu..... kuhama kutoka Ttcl wired niende Tigo Wireless!
Baada ya kumaliza second degreee nimeanzisha internet cafe ya pc 3.... Kaz hamna, nimejiajiri!!
mwanzon nilikuwa natumia TTCL sasa imefeli, cna namna! cpati msaada wa kiufundi! last time alikuja fundi akabadilisha modem... lakin wapi#
swali! hapa nilipo tigo inapatikana 3g, je naweza kuunganishwa kwa Broadband ili nifunge internet ya nguvu??? nusaidiene kuokoa biashara yangu..... kuhama kutoka Ttcl wired niende Tigo Wireless!