Sijui wewe ni genious kiasi gani? Ni wapi aliposema anataka kwenda kusoma Kiswahili? Anayetaka kusoma kiswahili si ana apply kupitia TCU au Chuo husika? Kama hujui majukumu ya TATAKI ni yapi kaa kimyaKulikoni TATAKI unataka ukasome Bachelor ya KISWAHILI nini? nawashangaa watu kama nyie mnaomba mikopo kwenda kusoma KISWAHILI university ningekuwa bodi ya mikopo nisingewapa mikopo maana mnapoteza pesa bure kusoma up.u.pu wa VISHAZI na VIRAI miaka kibao