macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,770
- 39,557
Nahisi jamaa alishatuma hizo taarifa sasa ana wasiwasi kama ataweza kupigwa. Anavyoelezea na kung'ang'ania inaonyesha alishatuma na hapa amekuja kuuliza kiana kama kuna madhara.We jamaa ubongo wako unachelewa sana ku-load.
Aya mtumie basi hizo taarifa zote anazozitaka. Assume kama hakuna mtu uliyemshirikisha au kumuomba msaada wa mawazo katika hili humu JF.
Sent using Jamii Forums mobile app