abagabo
Senior Member
- Jun 4, 2014
- 155
- 168
Kuna sehemu Fulani walitangaza nafasi za kazi. Jamaa yangu akaomba, na siku ya usaili aliitwa na kufanya usaili. Matokeo yalitoka mazuri kwani aliandikiwa barua ya kushinda interview kwa nafasi aliyo omba. Kumbe baadae walirudia usaili na kumpata mtu mwingine, japo hajasaini mkataba wowote. Jamaa yangu yeye ana barua ya mwajiri ya kushinda usaili. Je?
1. jamaa yangu anaweza dai nini kama huyu mwajiri hatampa mkataba?
2. kuna tort yoyote hapa
msaada plse
1. jamaa yangu anaweza dai nini kama huyu mwajiri hatampa mkataba?
2. kuna tort yoyote hapa
msaada plse