Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Nahitaji kufanyiwa Intrauterine insemination (IUI), maana tumejaribu kawaida inashindikana, napata wapi hiyo huduma hapa Tanzania na itagharimu kiasi gani, wajuzi mje kunisaidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona umeweka namba zako!Wapigie hii namba 0765678538
Huduma nzuri na nibora kwa afya yako
Jina la Hospital au clinic please na inapatikana wapi? Tunataka kwenda manually sio kwa simuWapigie hii namba 0765678538
Huduma nzuri na nibora kwa afya yako
Inamaana kuna mwanaume faraJina la Hospital au clinic please na inapatikana wapi? Tunataka kwenda manually sio kwa simu
Shauri hapa itapendezaKama wewe ni mwelewa naomba uje PM nikushauri jambo.
Daah me nko kijjn huku my dear ..ngumu kujua hizo sehemu
Ooh okay okay nipm kwa maelekezo zaidiJina la Hospital au clinic please na inapatikana wapi? Tunataka kwenda manually sio kwa simu
OK, thanksDaah me nko kijjn huku my dear ..ngumu kujua hizo sehemu