Msaada HTC Desire 820s Dual Sim

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Apr 7, 2011
5,662
6,456
Habarini wadau,

Niende moja kwa moja kwenye tatizo langu.....Simu yangu tajwa hapo juu imekuwa iki-restart yenyewe mara kwa mara na nimeshindwa kujua tatizo ni nini

Inafika wakati inaniambia kuna system update za kama MB 300+ hivi lakini nkishamaliza kuzidownload inarestart na inaanza kuziingiza, ile progress bar inasogea kidogo kama 1/3 tu na inafail kuendelea. Inazima na inawaka yenyewe na naendelea na maisha kama kawaida ila kurestart bado haijakoma

Leo nikajaribu kudownload app flani hivi ya M-pesa lakini nilipojaribu kuiingiza inaniambia simu yangu iko-rooted na sio safe kwa app hii ya M-pesa, je tatizo linaweA kuwa ni kwa vile simu iko rooted? Cha kushangaza Mimi sijawahi ku-root simu yangu.

Mwenye ujuzi wa kurekebisha tatizo hili naomba msaada coz kurestart huku kunanikera sana

Niko DSM

Screenshot_2017-03-31-18-10-46_1.jpg
 
Habarini wadau,

Niende moja kwa moja kwenye tatizo langu.....Simu yangu tajwa hapo juu imekuwa iki-restart yenyewe mara kwa mara na nimeshindwa kujua tatizo ni nini

Inafika wakati inaniambia kuna system update za kama MB 300+ hivi lakini nkishamaliza kuzidownload inarestart na inaanza kuziingiza, ile progress bar inasogea kidogo kama 1/3 tu na inafail kuendelea. Inazima na inawaka yenyewe na naendelea na maisha kama kawaida ila kurestart bado haijakoma

Leo nikajaribu kudownload app flani hivi ya M-pesa lakini nilipojaribu kuiingiza inaniambia simu yangu iko-rooted na sio safe kwa app hii ya M-pesa, je tatizo linaweA kuwa ni kwa vile simu iko rooted? Cha kushangaza Mimi sijawahi ku-root simu yangu.

Mwenye ujuzi wa kurekebisha tatizo hili naomba msaada coz kurestart huku kunanikera sana

Niko DSM

View attachment 489306
rudisha tu simu ya watu wizi si mzuri, fanya kazi utapata yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom