Msaada: HP laptop ina matatizo haya

josby

Member
Sep 8, 2012
85
1
Salam wanajamii. nina hp laptop ambayo inachemka sana,nafikiri feni yake imeungua,pia ina tatizo la kuto respond,na kujibonyeza keyboard yenyewe na sometimes kuji lock. Msaada wa kiufundi wa kubadilisha feni na kufix hzo shida zingine tafadhali. Ningependa kujua na makadirio ya gharama zake. Ahsante
 
Salam wanajamii. nina hp laptop ambayo inachemka sana,nafikiri feni yake imeungua,pia ina tatizo la kuto respond,na kujibonyeza keyboard yenyewe na sometimes kuji lock. Msaada wa kiufundi wa kubadilisha feni na kufix hzo shida zingine tafadhali. Ningependa kujua na makadirio ya gharama zake. Ahsante

Kaka josby. Ni lazima tuicheki kwanza. Inawezekana keyboard nayo inatakiwa kubadilishwa. Ofisi zetu ziko kinondoni mitaa ya manyanya. Ni vigumu kutoa tathmini bila kuiona na kuangalia vitu hivyo vinavyorespond
 
Naomba nikupinge mkuu.

Inategemea na aina ya matumizi ya PC yako, kumbuka kuna PC za light users, medium users na heavy users.

Light users ni kwa ajili ya kuandika documents na kuangalia muvi kwa muda mfupi tofauti na medium user ambae anaangalia muvi na kucheza game kidogo.

Heavy user ni yule anaeweza kutumia PC kwa shughuli nyingi bila kuchemka.

Mimi natumia HP 602 toka 2012 na inapiga mzigo fresh sana. Ila kuna mshikaji wangu anatumia HP ila nimeisahau model akitumia kuangalia muvi kidogo tu inachemka balaa wakati yake ni mpya hata mwaka haijamaliza.
Tunacheza game moja ila yake inachemka yangu inakuwa poa.
Nikaja kugundua baada ya kusearch mtandaoni solution, ya kwake ni kwa ajili ya matumizi madogomadogo ila yangu ni heavy user.
 
Naomba nikupinge mkuu.

Inategemea na aina ya matumizi ya PC yako, kumbuka kuna PC za light users, medium users na heavy users.

Light users ni kwa ajili ya kuandika documents na kuangalia muvi kwa muda mfupi tofauti na medium user ambae anaangalia muvi na kucheza game kidogo.

Heavy user ni yule anaeweza kutumia PC kwa shughuli nyingi bila kuchemka.

Mimi natumia HP 602 toka 2012 na inapiga mzigo fresh sana. Ila kuna mshikaji wangu anatumia HP ila nimeisahau model akitumia kuangalia muvi kidogo tu inachemka balaa wakati yake ni mpya hata mwaka haijamaliza.
Tunacheza game moja ila yake inachemka yangu inakuwa poa.
Nikaja kugundua baada ya kusearch mtandaoni solution, ya kwake ni kwa ajili ya matumizi madogomadogo ila yangu ni heavy user.

sory mkuu....nitajuaje km ni light, medium na heavy users?
 
Back
Top Bottom