Wataalam naomba msaada mara nyingi nakuwa na message nyingi sana kwenye simu yng kabla hata sijazisoma na wakwti mwingine ni muhimu kwa ajili ya reference baadae nawezaje kuzitunza kwenye chombo kikubwa kwa space au kuzitunza kwenye pc ? ? niliwahi hapo zamani(2yrs) kutumia software moja lakini tatizo ikawa hadi kukonect cable na sio msg zote zilihama zingine zilifutika na kupotea, niko tayari hata kwa kulipia ushauri ule tu utakao maliza shida yangu asante sana