Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 285
- 192
Tiba ya kwanza ni kubadili ulaji wako na kuacha kula vyakula vyenye asidi nyingi na kula organic foods zaidi mfano Organic foods you must know
Vipi wewe uliponea nn tusaidie na sisiPole sana aisee jamani vidonda vya tumbo vinatesa mnoo yan bora hata sijui nisema ugonjwa gani kuliko vidonda vya tumbo
Hao wakorwa walikuwa wajiitaje hospital yao niwatafte waliko nikiwakosa hapoPole sana
nenda kwa wakorea , kupona ni uhakika .
Mahali nilipoenda ni Ubungo garage ila ni miaka mingi imepita inawezekana wamehama pale .
WakoreaHao wakorwa walikuwa wajiitaje hospital yao niwatafte waliko nikiwakosa hapo
Hao wakorwa walikuwa wajiitaje hospital yao niwatafte waliko nikiwakosa hapo