Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Kama picha inavyojieleza hapo wakuu unaweza kuona hako kaalama ka duara katika hiyo line ya simu.Wajuzi wa masuala ya tech nijuzeni tafadhali hako ka alama kanamaanisha nini?
Kuna saa kanatokea halafu baada ya muda kanapotea.
Kuna saa kanatokea halafu baada ya muda kanapotea.