Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
Wakuu naombeni msaada wenu hapa......nimejaza fomu ya mkopo online sasa pale kwenye index ya shule kila nikiingiza ikawa inaniambia school not found....baada ya kuona inanigomea sana nikaamua kwenda nayo ivyo ivyo nimefanikiwa kujaza details zote lakini tatizo linakuja kuwa jina la shule yangu niliyosoma O level halipo.....nimejaribu sana kurekebisha lakini halitaki na info zishaseviwa hivyo pale imebaki index number yangu na ya shule.....sasa naomba kuuliza je hiyo ni makosa au hamna tatizo hata nikipeleka vivyo hivyo???.......na kama ni makosa nifanye nini ili kurekebisha hii kitu....
Ahsanteni
Ahsanteni