MWITA100
Senior Member
- Jul 9, 2015
- 165
- 55
Habari,
Naomba msaada kwa mwenye ufahamu na hili, kuna dogo hana baba (amefariki) na cheti cha kifo kimekuwa na mzunguko mrefu, hadi muda huu bado hajakipata na siyo rahisi akipate hivi karbu kutokana na mambo ya urithi na mambo ya ukoo.
SWALI
Leo alikuwa anajaze form ya mkopo imefikia kipengele cha wazazi ameandika hana baba system ikaomba namba ya cheti cha kifo.
Je, afanye nini na system haiwezi kuruka nafasi, na ukizingatia hana baba kweli?
Msaada kwa mwenye ufahamu na hili asanteni.
NAWASILISHA.
Naomba msaada kwa mwenye ufahamu na hili, kuna dogo hana baba (amefariki) na cheti cha kifo kimekuwa na mzunguko mrefu, hadi muda huu bado hajakipata na siyo rahisi akipate hivi karbu kutokana na mambo ya urithi na mambo ya ukoo.
SWALI
Leo alikuwa anajaze form ya mkopo imefikia kipengele cha wazazi ameandika hana baba system ikaomba namba ya cheti cha kifo.
Je, afanye nini na system haiwezi kuruka nafasi, na ukizingatia hana baba kweli?
Msaada kwa mwenye ufahamu na hili asanteni.
NAWASILISHA.