Ndoa gani wakati hata cheti cha ndoa hawana.Kisheria, Dhana ya ndoa inasema hivii:
1. Kama mmeishi pamoja miaka 2 na kuendelea;
2. Majirani wanawajua nyie kama ni mume na mke...
Hata ukimfumania bado mali ni kugawana. Hilo litasaidia tu talaka ambayo wewe au yeye anaweza kuitoa. Nikuambie muuze nyumba. Haiwezekani mgawanye nusu kwa nusu maana alikukuta una kiwanja.Tengeneza mchezo wa fumanizi, kodisha na macamera man kabisa...kama ukishindwa nione mchezo simple tu, ukiwa na ushahidi huo automatically hana haki asepe kama alivyokuja. Hawa single mother wabaya sana...Wana laana wanatembea nazo
Hata mke wa ndoa mnagawana mali mlizovuna pamoja kama mkiachana ila kama umevuta na umezaa nawe atapata gawio kwasababu ya watotoKisheria, Dhana ya ndoa inasema hivii:
1. Kama mmeishi pamoja miaka 2 na kuendelea;
2. Majirani wanawajua nyie kama ni mume na mke...
Kunywa soda nakuja kulipiaIla watu bana Single maza hawezi kukupenda hata siku moja alikuja kwako kwa ajili ya maslahi mapana ya kwake na mtoto wake now anataka kuchuma mali asepe hahahaa.
Sio kidini hiyo sheria .hata ukienda mahakani ni ngumuKisheria, Dhana ya ndoa inasema hivii:
1. Kama mmeishi pamoja miaka 2 na kuendelea;
2. Majirani wanawajua nyie kama ni mume na mke...
Weee unaenda kwa single mother wa nini??Ni muda Wa miaka mitatu sasa umepita tangu tukutane na huyu binti yaani mwaka 2017 akiwa Single mother yaani ameisha zalishwa mtoto mmoja. Tukabebana hapa sokoni bila kwenda kwao tukayajenga tukakubaliana nikamchukua yeye na mtoto wake tukaanza maisha.
Alinikuta nina nyumba moja na Kiwanja hivi sasa kile Kiwanja nimejenga na tumehamia huko.
Sasa mtafaruku unaanzia pale tulipo kwazana na anataka kuondoka na Mimi ninataka kuachana naye maana visanga vimezidi na yeye anadai tugawane Mali tulizovuna wote kwa muda huo jamani wanasheria Msaada hapo kisheria imekaaje?
Kama huja zaa naye kwa miaka mitatu.Sijazaa naye ila yeye ana mtoto Wa mume mwingine nilimkuta (single mother)
Ili mwanae akuwe tuIla watu bana Single maza hawezi kukupenda hata siku moja alikuja kwako kwa ajili ya maslahi mapana ya kwake na mtoto wake now anataka kuchuma mali asepe hahahaa.
Upo sahihi sheria ya ndoa ina mambo ya kihuni afanye hivyo kabla pilato hajafanya ya kwakeKisheria, Dhana ya ndoa inasema hivii:
1. Kama mmeishi pamoja miaka 2 na kuendelea;
2. Majirani wanawajua nyie kama ni mume na mke..
Mcheki kweli anaweza akawa msaada mkubwa.Duuuh hakika Tanzania tunawatetezi naona kwa mbali muangaza waja pongezi Mkuu....ngoja nitakucheki PM unipatie vielelezo
😂😂😂😂😂 Kwakweli.Humu kila mtu mwanasheria hata kama ana cheti cha unesi
Utajijua mzee hapo kama mna nyumba mbili no pasu kwa pasu. Huyo ni mke maana alikupikia, aliweka mazingira mazuri nyumbani nkSiwezi maana had I mama mkwe ananikashifu
Siyo mfululizo maana nilikuwa namtimua anakaa kwao baadae nampigia simu arudi