mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Hi
Jamani kwa anaefahamu mambo ya hii mitandao kuhusu kuweka na kutoa pesa (UWAKALA)
Nafikiria kuanzisha mambo ya M PESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA nk
Lakini sijajua malipo yao yakoje.
Kwa mwenye elimu juu ya hili naomba ufafanuzi tafadhali.
Jamani kwa anaefahamu mambo ya hii mitandao kuhusu kuweka na kutoa pesa (UWAKALA)
Nafikiria kuanzisha mambo ya M PESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA nk
Lakini sijajua malipo yao yakoje.
Kwa mwenye elimu juu ya hili naomba ufafanuzi tafadhali.