Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,054
Kuna jamaa nilisoma naye advanced level alikuwa na tatizo la kuumwa kichwa hadi misuli ya damu inaiona ilivyokaza.
Muhimbili aliambiwa ana Amoeba, akapewa dawa zikaisha hali ikawa vilevile, akaenda tena akapewa miwani ya macho ikamsaidia tu kufanya mtihani lakini hali haikubadilika sana.
Mwisho wa Siku akaenda hospital ya mission Peramiho huko Songea, akaambiwa mwili wake unazalisha damu kwa wingi hivyo anatakiwa kuitoa kila baada ya muda fulani. Hadi leo yupo fresh na familia yake huko mbeya, kikazi nadhani bado anaendelea na utaratibu wa kutoa damu.
Muhimbili aliambiwa ana Amoeba, akapewa dawa zikaisha hali ikawa vilevile, akaenda tena akapewa miwani ya macho ikamsaidia tu kufanya mtihani lakini hali haikubadilika sana.
Mwisho wa Siku akaenda hospital ya mission Peramiho huko Songea, akaambiwa mwili wake unazalisha damu kwa wingi hivyo anatakiwa kuitoa kila baada ya muda fulani. Hadi leo yupo fresh na familia yake huko mbeya, kikazi nadhani bado anaendelea na utaratibu wa kutoa damu.