Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,295
- 5,393
Taarifa zako wamezisikia
Ndio mjue kwamba Chadema ni chama cha wahuni. Akipata tatizo yule tajiri wanachangisha haraka haraka ndani ya siku 3 inapatikana milioni 100 iliyotoka kwa maskini na kwenda kwa tajiri.Na huyu Dada anaonekana mfia chama kweli pamoja na maswahibu yote lkn bado kavaa jezi yake,hlf mwisho wa siku viti maalum anapewa salary slip huyu Dada wanamsahau
Mbowe katika zile bilioni nane ulizokwapua si umgawie kidogo huyu binti yaani unameza zote kwa mkupuo Kama unameza panadol hugawii wenzio
Umejibu kama vile watu wawili tofauti.Mmmmm utapeli .Weka ushahidi wa kuwa alikuwa akimtafuta!!
Hapa umechapia
Alikuwa akimtafuta Kama Nani hawara au?
NIPATIE ACCOUNT NAMBA YAKEMkuu komba anaingiaje hapa? Mimi msamaria mwema nimeleta habari za dada wa chama kuhitaji msaada wa kimatibabu anateseka sana
Aliumia katika shughuli za Chama Blackjew
Hamjaacha kuvika machangudoa yenu nguo za vyama ili kuchafua vyama pinzani!?
Onyesha kadi yake na ushahidi akiwa kwenye harakati za CHADEMA, sana sana muda si utaletewa picha akiwa kavaa uniform za ukada wa kijani hapa
Hakika mbowe hana tofauti na mabeberu mana kakwapua mabilioni halafu hata kuwatibia makada anashindwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mjue kwamba Chadema ni chama cha wahuni.
Akipata tatizo yule tajiri wanachangisha haraka haraka ndani ya siku 3 inapatikana milioni 100 iliyotoka kwa maskini na kwenda kwa tajiri.
Mimi sio mshabiki wa vyama ila naeleza ukweli wa ninayoyaona.
Huyu dada amejitoa mno kwa Chadema ila wamemtelekeza kabisa
Mkuu bora utukanane na huyo Bia yetu kuliko kumshambulia mgonjwa kwa maneno yasiyo na staha.Hamjaacha kuvika machangudoa yenu nguo za vyama ili kuchafua vyama pinzani!?
Onyesha kadi yake na ushahidi akiwa kwenye harakati za CHADEMA, sana sana muda si utaletewa picha akiwa kavaa uniform za ukada wa kijani hapa