God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
Habari za usiku huu wana MMU.
Na tatizo moja, nikikutana na mwanamke hata awe mzuri vipi nikishahisi/kuambiwa kuwa ni malaya yani mawazo ya ngono yanapotelea hapo hapo na hamu inaisha kabisa.
Msaada wakuu nitaliepuka vipi hili tatizo?
Na tatizo moja, nikikutana na mwanamke hata awe mzuri vipi nikishahisi/kuambiwa kuwa ni malaya yani mawazo ya ngono yanapotelea hapo hapo na hamu inaisha kabisa.
Msaada wakuu nitaliepuka vipi hili tatizo?